Tetesi za Soka Barani Ulaya
Tetesi za soka barani Ulaya leo zinasema:- Tetesi zinasema, Manchester United watatathmini uwezekano wa kumsajili kiungo wa kati wa England Declan Rice, 22, katika mkataba wowote kati yao na West …
Ikiwa hujaridhika na matokeo, tafuta tena
Tetesi za soka barani Ulaya leo zinasema:- Tetesi zinasema, Manchester United watatathmini uwezekano wa kumsajili kiungo wa kati wa England Declan Rice, 22, katika mkataba wowote kati yao na West …
Tetesi zinasema Mshambuliaji wa Brazil Neymar, 29, ameingia makubaliano ya awali kubaki Paris St-Germain mpaka mwaka 2026 na sasa klabu hiyo ya Ufaransa inafanya jitihada ya kufanya makubaliano kama …
Tetesi zinasema Real Madrid wanapania kumnunua mshambuliaji wa Tottenham na England Harry Kane, 27. Tetesi zinasema Arsenal wanatathmini uwezekano wa kumnunua kiungo wa kati na mlinzi wa Real Betis na …
Tetesi zinasema Arsenal ni miongoni mwa klabu kadhaa zinazoangalia uwezekano wa kumsajili mchezaji wa safu ya ulinzi wa timu ya RB Leipzig Mfaransa Ibrahima Konate mweye umri wa miaka 21. …
Zinedine Zidane anatumai suala la mikataba ya Sergio Ramos na Lucas Vazquez na Real Madrid “litatatuliwa”. Ramos, 34, na Vazquez, 29, wote wamekosa mkataba mwishoni mwa msimu na hatima yao …
Sergio Ramos yuko huru kuzungumza na vilabu vya Ligi ya Premia na Real Madrid bado hawajampa mkataba mpya nahodha huyo wa The Blancos. Mabingwa watawala wa Spania watapoteza mali ya …
Zinedine Zidane amekuwa akifurahishwa sana na kazi ya Lucas Vazquez, huku akiamini kuwa ‘Real Madrid ipo moyoni’ mwa nyota huyu. Anafikiri zawadi tosha ni kumpa mkataba mpya aendelee kutoa huduma …
Moja ya vitu vilivyoathiriwa na mlipuko wa COVID19, ni mishahara ya wachezaji. Real Madrid kama zilivyoklabu zingine, bado inahaha kwenye kuongeza mikataba ya wachezaji wake. Mkataba wa nahodha wa Real …
Klabu ya Tottenham inayoshiriki Ligi Kuu Uingereza imeonekana kujenga mahusiano ya karibu zaidi na kocha Mreno, Jose Mourinho juu ya hatma ya mwalimu wao ambaye anaifundisha klabu hiyo kwa sasa. …
Beki wa kulia wa klabu ya Real Madrid raia wa kimataifa wa Hispania Dani Carvajal anatarajiwa kuukosa mchezo wa kwanza wa ligi ya mabingwa wa klabu hiyo ambao watacheza kesho …
Mechi kati ya Real Betis na Sevilla inaweza kuwa mechi ya kwanza kurejea kwa msimu Juni 11. Mkurugenzi Mkuu wa La Liga, Javier Tebas amesema mechi hiyo itakuwa “faraja kwa …