Zinedine Zidane amekuwa akifurahishwa sana na kazi ya Lucas Vazquez, huku akiamini kuwa ‘Real Madrid ipo moyoni’ mwa nyota huyu. Anafikiri zawadi tosha ni kumpa mkataba mpya aendelee kutoa huduma klabuni hapo.
Nyota huyu ameanza katika gemu saba za Real Madrid msimu huu wakati mkataba wake ukiwa unaelekea ukingoni mwishoni mwa kampeni.
Kwenye gemu ya Jumatano dhidi ya Inter Milan Vazquez alikamilisha dakika 90 dimbani wakiondoka na ushindi wa 2-0 wa Ligi ya Mabingwa. Alibamba zaidi kwa kwa ushambuliaji wake wa moja kwa moja.
Vazquez pia alikuwa na mashuti mengi kuliko mchezaji yeyote uwanjani akifikisha mashuti 4 kwa gemu nzima. Kimsingi amekuwa sehemu muhimu ya ushindi wa Real Madrid.
Vazquez ameonyesha uhodari wake kwa kutokea upande wa beki wa kulia wakati mwingine na Zidane anataka staa huyu miaka 29 atakuwa msaada kwa Real, ni vyema azawadiwe mkataba mpya.
“Sasa anayo nafasi ya kutuonyesha kile alichokuwa nacho. Alikuwa mchezaji wa timu ya vijana hapa kwetu na Madrid ipo moyoni mwake. Nina furaha kwake na timu.”
Zidane anamuona kama ni mchezaji anayejitoa sana na yeye kama kocha anathamini mno mchango wake uwanjani na nje ya uwanja kama miongoni mwa wachezaji bora kikosini. Bila shaka Real watampa mkataba mpya hivi karibuni.
Hadi 130,000,000 TSH Kutolewa kwa washiriki wa shindano la Playson Cashfall. Unaipata kwenye Kasino ya Mtandaoni ya Meridianbet Pekee. Jisajili sasa, kisha ingia mchezoni kabla ya Novemba 29.
Adelta
Good news
Nasra
Gud news
Sadick
Lucas Vazquez umri umemutupa mkono, ana muda mfupi kuendelea kusakata kabumbu. Baada ya kuondoka wachezaji wakongwe na mahiri nae amepata nafasi ya kucheza
Tatu
Habari nzuri
Ester jackson
Itakuwa vizuri kama ataendelea kwake
Khadija
Itakuwa jambo zuri
Lydia Emmanuel Magoti
Vizuri sana
magdalena
lucas yuko makini sana katika kazi zake awapo uwanjani
Dorophina
Itakuwa poa kama lucas ataendelea na madrid
Saupha mohamed
Jambo zuri
Sarah
Habari nzuri
aisha
Ni jambo zuri sana
David Pere
Vazquez ameonyesha uhodari wake kwa kutokea upande wa beki wa kulia wakati mwingine na Zidane anataka staa huyu miaka 29 atakuwa msaada kwa Real, ni vyema azawadiwe mkataba mpya.
Genia Sikaluzwe
Habari njema
Hopemwaikuka
Na hii ndo maana unaambiwa do what you love& love what you do
Tahiya
Ni vizur
Sauda
Jambo jema
warda
Ni kweli hata mie nimeliona hilo