Costa Mwezi Mzima Nje!
Winga wa Juventus, Douglas Costa anaripotiwa kuwa atakuwa nje kwa zaidi ya wiki tatu au mwezi mzima baada ya kupata majeraha kwenye ‘enka’ cha mguu na kwenye paja. Nyota huyu …
Jokanovic: Ryan Sessegnon Anapewa Mda
Fulham wanampa mda staa kijana Ryan Sessegnon mwenye umri wa miaka 18 ili aweze kujiboresha na kuendana na mazingira ya Ligi Kuu. Bosi wa Fulham bwana Slavisa Jokanovic anasema staa …
Ona Hekima ya Steven Gerrard
Imekuwa nadra sana kwa makocha au mameneja mbalimbali kuonyesha upendo dhidi ya wapinzani wao hasa pale wanapofungwa au kutoa sare. Meneja wa Rangers, Steven Gerald amekuwa tofauti na wengine. Gerald …
Mzozo Kibarua cha Maradona!
Baada ya gwiji la soka kutokea nchini Argentina, Diego Maradona kuamua kurudi tena kwenye kabumbu na kuwa kocha mapya yameibuka! Wiki kadhaa nyuma alitambulishwa kwenye klabu inayokipiga daraja la kwanza …
Mbio za Usajili Uingereza
Klabu za Manchester United na Arsenal zinamuwinda kwa udi na uvumba mchezaji nafasi ya kiungo Arne Maier wa kati wa kikosi cha chini ya umri wa miaka 21 wa klabu …
UEFA Wamefungua Kesi ya Ronaldo
UEFA wamethibitisha kuwa kesi ya Ronaldo imepatiwa meza ya kusikiliza maswala ya kinidhamu juu adhabu ya kadi nyekundu aliyopewa Ronaldo kwenye gemu dhidi ya Valencia jana. Ronaldo alitolewa kwa kadi …
Dada wa CR7: Watalipia Machozi ya CR7
Dada wa Cristiano Ronaldo Katie Aveiro amelalamika sana kufuatia kadi nyekundu aliyopewa kaka yake CR7 kwa kusisitiza kuwa haikuwa sawa. Ronaldo alipewa kadi nyekundu jana kwenye gemu dhidi ya Valencia …
AC Milan: Yamefanyika Mapinduzi Kikosi Kizima!
Ac Milan wanaripotiwa kufanya mabadiliko makubwa kwenye kikosi chao kinachoenda kupambana kesho dhidi ya Dudelange kwenye ligi ya EUROPA. Milan anasafiri kwenda Luxembourg kesho akiwa ana mapengo ya Suso, Patrick …
Chelsea: Ampadu Amelamba Dili Jipya!
Nyota wa Chelsea mwenye uwezo wa kucheza kama mlinzi na kiungo bwana Ethan Ampadu amekula dili jipya la mkataba wa miaka mitano zaidi katika klabu yake ya Chelsea. Nyota huyu …
Umtiti: Kante Ndiyo Komesho la Messi!
Samuel Umtiti ambaye ni mchezaji beki wa taifa la Ufaransa ametoboa ukweli kwamba wachezaji wote wa taifa lao la Ufaransa walikuwa waoga kwenye mtanange dhidi ya taifa la Argentina kwenye …

