Ndong Kushtakiwa na Klabu Yake!
Football

Klabu ya Sunderland inataka kumfungulia mashtaka mchezaji wao mwenye umri wa miaka 24, Didier Ndong! Wanamtaka awalipe kiasi cha £13.6m mara baada ya kushindwa kuwasili klabuni kwake tangu msimu huu …

Soma zaidi
Matokeo ya Jana na Ratiba ya Leo
Football

Haya hapa ni matokeo ya mechi za UEFA Nations League: FT Portugal 1 – 0 Italy FT Sweden 2 – 3 Turkey FT Scotland 2 – 0 Albania FT Montenegro …

Soma zaidi
Spurs Wanapanga Kuivaa Leicester
Football

Imedaiwa na Telegraph kwamba klabu ya soka ya Tottenham Hotspurs inamfuatilia mchezaji beki wa klabu pinzani ya Leicester City, Ben Chilwell. Beki huyu mwenye umri wa iaka 21 kwa sasa …

Soma zaidi
Faini kwa Serena!
Football

Mkali wa mchezo wa tenisi kutoka nchini Marekani, Serena Williams amepigwa faini ya dola za Kimarekani 17,000 (takribani shilingi milioni 39 za Kitanzania ) kwa vitendo vya utovu wa nidhamu …

Soma zaidi
AFCON: Msiba Uwanja wa Taifa Madagaska
Football

Mtu mmoja anaripotiwa kufariki dunia wakati wengine 39 wameumia katika uwanja wa taifa wa Madagaska kwenye mechi ya kufuzu michuano ya Mataifa ya Afrika AFCON 2019 kati ya Madagaska na …

Soma zaidi
Man U: Wamtaka Dyabala Ili Wamuuze Pogba
Football

Chanzo cha habari za michezo cha  Footbal Italia kinaripoti kuwa Manchester United wanataka kumtumia Paul Pogba ili kumpata Paulo Dybala. Pogba ambaye anaonekana hana mapenzi ya kuendelea kuwepo Man Utd …

Soma zaidi
Italia Vs Portugal: Unaielewa BBC ya Italia?
Football

Sio BBC kama ya London! BBC kwa timu ya Italia ni muunganiko wa majina ya mwisho ya mastaa hawa Andrea Belotti, Federico Bernardeschi na Federico Chiesa. Mastaa hawa ni kama …

Soma zaidi
Liverpool Watemana na Adrien Rabiot!
Football

Liverpool wameamua kujitoa katika kumfukuzia kiungo Mfaransa Adrien Rabiot na kuwaacha Juventus, Milan na Barcelona wakimfukuzia staa huyo kutoka Paris-Saint Germain. Staa huyu mfaranca, mwenye miaka 23 amechomoa kusaini mkataba …

Soma zaidi
De Zerbi Amesanda kwa Juventus
Football

Kocha wa Sassuolo Roberto De Zerbi  amekiri kuwa Juventus ndio wababe wa Italia na Ulaya huku akisisitiza kuwa hiyo haimaanishi kuwa tayari wamewashindwa. Sassuolo wanashika nafasi ya pili kwenye msimamo …

Soma zaidi
Sane Apata Mtoto, ni Baada ya Kusepa Kikosini
Football

Winga wa Man City Leroy Sane ametangaza kupata mtoto wa kike ikiwa ni siku moja baada ya kuondoka katika kikosi cha timu ya ya taifa ya Ujerumani. Staa huyu aliripotiwa  …

Soma zaidi
Meridianbet
Privacy Overview

This website uses cookies so that we can provide you with the best user experience possible. Cookie information is stored in your browser and performs functions such as recognising you when you return to our website and helping our team to understand which sections of the website you find most interesting and useful.