Ndondi: Myweather Vs Pacquiao Tena!
News

Floyd Mayweather amesema anarudi ulingoni kuzichapa na Manny Pacquiao. Mabondia hawa walichapana mwaka 2015 mwezi Mei huku Mayweather akishinda kwa kumzidi pointi Pacquiao. Mayweather alitangaza kustaafu akidai hataingiua tena tena …

Soma zaidi
Guardiola Hataki Kumuachia De Bruyne!
Football

Meneja wa Man City Pep Guardiola anadai dau alilolitaja  kwa mchezaji Kelvin De Bruyne lilikuwa ni janja janja ya kusema mchezaji huyo hayupo sokoni kwa sasa. Amesema haya kuondoa mkanganyiko …

Soma zaidi
Imani ya Klopp Leo
Football

Klabu ya Liverpool inayoongozwa na meneja Jurgen Klopp ina imani kwamba watakuwa imara zaidi wakati wanapokwenda kumenyana na wapinzani wao wakubwa Tottenham ambayo ni mechi ya mapema zaidi leo hii …

Soma zaidi
Lopetegu Apinga La Liga Kuchezwa Marekani
Football

Kocha wa Real Madrid, Julen Lopetegu amekosoa mpango wa kucheza gemu ya La Liga nchini marekani akidai unapoteza ushindani unaotakiwa. Jumanne Barcelona, Girona na La Liga waliomba ruhusa kwa Shirikisho …

Soma zaidi
Herrera Hatasepa Porto Januari
Basketball

Wakala wa Hector Herrera, bwana Gabriel Moraes anasema kuwa staa huyu hataondoka Porto mwezi Januari. Mkataba wake ulikuwa unaisha mwaka 2019, yupo katika orodha ya mastaa ambao watakuwa wachezaji wachezaji …

Soma zaidi
Majina ya Rashford na Darmian Hayapo UEFA!
Champions League

Mashetani Wekundu wa Manchester United wametangaza kikosi chao kamili kwa ajili ya mapambano ya michuano mikubwa sana huko barani Ulaya, Champions League ya UEFA. Kwenye orodha ya majina hayo hakuna …

Soma zaidi
Italia Waua Mwaka Bila Kushinda
Football

Kwa mara ya kwanza tokea mwaka 1959, timu ya taifa ya Italia wanamaliza mwaka bila kushinda gemu yeyote ya ushindani. Ushindi wa mwisho wa timu ya taifa ya Italia ulikuwa …

Soma zaidi
Juve Watangaza Hasara ya €19m
Football

Klabu ya Juventus wametangaza hasara ya paundi milioni 19 kwa mwaka wa fedha wa 2017/2018 baada ya kushuka kwa mapato kwa kiasi cha Paundi milioni 58. Ilitarajiwa kuwa klabu hiyo …

Soma zaidi
Cheryshev Achunguzwa Matumizi ya Madawa
Football

Mchezaji wa Villarreal ambaye yupo kwa mkopo Valencia, Denis Cheryshev yupo chini ya uchunguzi kufuatia madai ya matumizi ya madawa kinyume na taratibu. Staa huyu aliwafungia Urusi magoli 4 wakati wa …

Soma zaidi
Sunderland Wamtema Rasmi Papy Djilobodji!
Football

Klabu ya Sunderland wamevunja mkataba wa Papy Djilobodji ambaye alijiunga na klabu hiyo kwa ada ya paundi milioni 8. Klabu hiyo inadai sababu ya kuvunja mkataba huo ni Papy kurudi …

Soma zaidi
Meridianbet
Privacy Overview

This website uses cookies so that we can provide you with the best user experience possible. Cookie information is stored in your browser and performs functions such as recognising you when you return to our website and helping our team to understand which sections of the website you find most interesting and useful.