Moto Kuwaka: Uingereza na Hispania!
Timu ya taifa la Hispania imesafiri mpaka dimbani Wembley kumenyana na Waingereza kwenye mchezo wao wa UEFA National League. Uingereza na Hispania hawajawahi kukutana kwenye mchezo wa mashindano tangu mwaka …
Sarri Amekutana na Kazi Ngumu Chelsea
Bosi wa Chelsea Mourizio Sarri, anaamini kuwa amekutana na kazi ngumu sana Chelsea. Bosi huyu mwenye umri wa miaka 59, ambaye amewahi pia kuwa bosi wa Napoli, anadai kuwa kazi …
Chelsea Wamtamani Elliot, Mtoto wa Miaka 15
Klabu ya chelsea wameripotiwa kuvutiwa na mtoto machachari Harvey Elliott mwenye umri wa miaka 15 kutoka katika shule ya mpira wa miguu ya vijana pale Fulham. Chelsea wameonyesha kuvutiwa na mchezaji …
Klabu Kongwe, Genoa Miaka 125 Leo!
Leo klabu ya Genoa wanasherekea kutimiza miaka 125, Klabu hii ilianzishwa Septemba 7, 1893 ikiwa kama kama timu ya Kriketi na Wakimbiaji, kwa wakati huo upande wa soka ulikuwa ni …
Nidhamu Inamtesa Leroy Sane!
Winga wa Man city Leroy Sane mwenye umri wa miaka 22 ameshauriwa kubadili tabia yake ili aweze kupata nafasi na kufanya vizuri. Sane alijiunga na Man City mwaka 2016 akitokea …
Ujerumani na Ufaransa; Nani Kutisha Leo?
Ligi ya Mataifa UEFA inaanza kutimua vumbi leo hii na gemu ya kwanza ni kati ya Ufaransa na Ujerumani ambao ni Mabingwa wa Makombe ya Dunia yaliyopita. Kwenye gemu 29 …
Jorginho Hasahau Napoli, Anaitamani Serie A
Aliyekuwa kiungo wa Napoli, Jorginho anasema anaikumbuka sana timu yake ya zamani, anaikumbuka seria A na anatumaini siku moja atarudi Serie A akitaja kutua kwa Ronaldo Seria A imekuwa faida …
Chelsea: Gilmour Anaota Kukimbiza Duniani
Kinda wa Chelsea Billy Gilmour mwenye miaka 17 anasema anataka kuwa mchezaji bora zaidi Duniani. Gilmour alijiunga na Chelsea akiwa na miaka 16 mwaka 2017 kwenye kikosi cha vijana wa …
Sandro Kutua Madrid; Marcelo kwa Juve?
Moja ya klabu kubwa za Hispania, La Liga, Real Madrid ina malengo ya kumtoa mchezaji Marcelo kwa klabu ya soka ya Juventus huko Italia ili wao waweze kumpata Alex Sandro …
Suarez Amkaribisha Pogba!
Mchezaji machachari, Luiz Suarez amefunguka na kusema kwamba staa Paul Pogba atakaribishwa sana kule Barcelona, Hispania wakati mchezaji huyo mwenye umri wa miaka 25 wa klabu ya soka ya Manchester …

