Sajili za Palace
Football

Team Talk wanasema kwamba klabu za soka za Crystal Palace, Brighton na Watford zinamsaka sana msakata kabumbu kinda mwenye umri wa miaka 18, Adam Lovatt. Mchezaji huyu anakipiga pale Bostik …

Soma zaidi
Bale: Hali shwari bila Ronaldo
Football

Nyota wa Real Madrid Gareth Bale anasema hali ni shwari zaidi Real Madrid tangia  Ronaldo alivyosepa kwenda Juventus mapema mwezi Julai. Inadaiwa kuondoka kwa Ronaldo katika klabu hiyo kumemfanya jamaa …

Soma zaidi
Nadal Kuula Kwenye Soka!
Football

Mchezaji wa tenisi maarufu ulimwenguni anayetokea nchini Hispania, Rafael Nadal ambaye ni moja ya mashabiki wakubwa wa klabu ya soka ya Real Madrid anaweza kuula kwenye kabumbu siku za usoni! …

Soma zaidi
Ubabe wa Costa Wamuweka Matatani
Football

Mshambuliaji wa Juventus, Douglas Costa anajikuta yuko matatani kufuatia tabia aliyoionyesha kwenye gemu dhidi ya Sassuolo Jumapili ambayo Juve walishinda bao 2-1. Douglas alilmletea ubabe Federico Di Francesco baada ya …

Soma zaidi
Champions League Imekujia!
Champions League

Ule msimu bomba wa kabumbu maarufu kama usiku wa Ulaya, UEFA Champions League unarudi tena juma hili! Siku ya Jumanne na Jumatano kazi inaanza dimbani! Gemu tamu Mitanange ambayo inatolewa …

Soma zaidi
Macho ya Guardiola…
Champions League

Chanzo cha habari cha Star siku ya jana kimeripoti kwamba Pep Guardiola ambaye ni kocha wa klabu ya soka ya Manchester City atakuwa anawawinda kwa ukaribu kabisa wachezaji wawili wa …

Soma zaidi
PSG: 4-2-3-1 Bomu kwa Liverpool
Champions League

Mabingwa hawa wa ufaransa wanaonekana mambo si mambo katika League 1, Lakini Bosi wao mpya bwana Thomas Tuchel anajua kuwa Champions League ndio kipaumbele  cha klabu hiyo. Tangia klabu hiyo …

Soma zaidi
Champions League: Kimbembe Valencia Vs Juve
Champions League

Ligi ya mabingwa sasa inaanza kuwa ya moto kwenye hatua za makundi! Ni Rodrigo au Ronaldo? Valencia wanamkaribisha Juventus Jumatano tarehe 19 Septemba kwenye dimba la Mestalla katika ufunguzi wa …

Soma zaidi
Timu ya Beckham Inamvizia Messi
Football

Taarifa zinadai kuwa staa wa zamani wa soka, David Bekham anamtazamia staa wa Barcelona Lionel Messi kwa ajili ya timu yake mpya Inter Miami inapokwenda kuanza rasmi kucheza katik ligi …

Soma zaidi
Maurizio Sarri Avunja Historia!
Football

Boss wa Chelsea Maurizio Sarri ameingia katika historia kwa kuwa kuwa mmoja kati ya makocha 4 katika Premier League kushinda gemu zake tano za mwanzo, Pia amekuwa muitalia wa pili …

Soma zaidi
Meridianbet
Privacy Overview

This website uses cookies so that we can provide you with the best user experience possible. Cookie information is stored in your browser and performs functions such as recognising you when you return to our website and helping our team to understand which sections of the website you find most interesting and useful.