Kesi ya Madrid na Inter Kuhusu Modric Imeisha!
Football

Kesi iliyokuwa katika mezani ya FIFA kuhusu utaratibu uliotumika na Inter kumfukuzia Luka Modric inadaiwa kufungwa. Kwa mujibu wa chanzo cha habari za michezo cha kiitaliano Calciomercato madai hayo yamefungwa …

Soma zaidi
FIFA:3 Bora ni Ronaldo, Modric na Salah
Football

Modric na Ronaldo wamekutana tena katika kinyang’anyiro cha mchezaji bora wa FIFA. Ronaldo ambaye alikosa tuzo ya mchezaji bora UEFA ambayo ilienda kwa Modric, ameingia katika tatu bora na mpinzani …

Soma zaidi
Jeuri ya Mourinho Baada ya Ushindi
Football

Mourinho alitoka akitabasamu baada ya kupata ushindi wa bao 2-0 dhidi ya mwenyeji wake Burnley kwenye dimba la Turf Moor. Macho ya wadau wengi wa soka yalikuwa yakimtazama Mourinho kujua …

Soma zaidi
Bosi wa Barca Amewapiga Mkwara Inter Millan
Football

Mkurugenzi wa Barcelona bwana Ariedo Braida amewapiga mkwara Inter Millan kuwa wasitegemee mteremko wowote katika kundi lao kwenye Ligi ya mabingwa Ulaya.  Inter Millan na Barcelona wamepangwa katika kundi moja …

Soma zaidi
Sekeseke la Martial na United!
Football

Klabu ya soka ya Manchester United haijakubaliana kuhusiana na mkataba mpya wa kumzuia mchezaji mshambuliaji wake, Anthony Martial mwenye umri wa miaka 22 kwa sasa kusepa klabuni hapo iliyopo Old …

Soma zaidi
Eden Hazard: Nafurahia Soka Chini ya Sarri
Football

Kiungo wa Chelsea, Eden Hazard anasema anafurahia kupiga soka katika timu yake chini ya uongozi wa Maurizio Sarri. Hazard alijiunga na Chelsea Julai 2012 akiwa antokea LOSC lille, anamsifu sana …

Soma zaidi
Huu Unaweza Kuwa Mwisho wa Mourinho?
Football

Meneja wa Man United, Jose Mourinho ndio anayegonga vichwa vya habari za soka kwa sasa. Mourinho ambaye anadaiwa kuwa kikaangoni tokea alipopoteza gemu dhidi ya Briton,  na kukosa bahati zaidi …

Soma zaidi
Mane na Firmino Waipa Ushindi Liverpool
Football

Liverpool wameendeleza ubabe kwa kuwatandika Leicester wakiwa kwao goli 2-1.  Licha ya Leicester kuonekana kutawala mchezo katika kipindi cha kwanza, wakali hawa wameshindwa kuzuia wababe wao Liverpool kuondoka na ushindi …

Soma zaidi
Mike Perry Atamba atamuua Donald Cerrone
Football

Mpiganaji kijana, Mike Perry ambaye ana umri wa miaka 26  ameahidi ‘kuua’ siku atakayokutana ulingoni na Donald Cerrone. Mike anayefahamika kwa jina la utani kama ‘Platinum’ anatarajiwa kuingia ulingoni kuzichapa …

Soma zaidi
Indonesia Watamania Mashindano ya Olympic
Football

Indonesia wanatamani mashindano ya Olympic yafanyike nchini mwao. Nchi hii ambayo kwa sasa inaendesha mashindano makubwa kabisa ya michezo Asia wanatarajia kuingia katika kuwania nafasi ya kufanya mashindano hayo. Raisi …

Soma zaidi
Meridianbet
Privacy Overview

This website uses cookies so that we can provide you with the best user experience possible. Cookie information is stored in your browser and performs functions such as recognising you when you return to our website and helping our team to understand which sections of the website you find most interesting and useful.