Barca: Pogba, Rabiot au De Jong?
Barcelona bado wana matumaini kuwa watawasajili wachezaji wawili kati ya watatu wanao wafukuzia ambao ni Pogba, Rabiot na De Jong kabla ya ijumaa. Dirisha linakaribia kufunga ijumaa ya tarehe 31 …
Frenkie de Jong: Siendi Tena Barca
Staa wa Ajax Frenkie de Jong anasema hana mpango tena wa kwenda Barcelona katika msimu huu. Jong ambaye alifikiria kuwa huenda angejiunga na Barca, amekacha mtazamo wake na kusisitiza kuwa hawezi kuondoka …
Johanna Konta Nje Us Open 2018
Bingwa wa kike wa Tenisi kutoka Uingereza, Johanna Konta ametolewa katika michuano ya Us Open baada ya kuchapwa kwa seti ya 6-2 6-2 na Caroline Garcia. Michuano hii ambayo huwahusisha mabingwa …
Danny Rose Apambana Kubaki Spurs
Mchezaji wa Tottenham Danny Rose anapambana kuendelea kuwepo Spurs kutokana na mafanikio ya timu hiyo. Danny alikuwa anatarajiwa kujiunga kwa mkopo Paris Saint-Germain au Marseille. Danny sasa anakataa dili la …
Sheyi Ojo Kuiacha Liverpool
Winga wa liverpool Shey Ojo yuko mbioni kusepa Liverpool na Kujiunga na klabu ya ufaransa ya Stade Reims kwa kipindi kilichobakia katika msimu. Winga huyu mwenye umri wa miaka 21, …
Mignolet: Sijui Hatma Yangu Hapa!
Golikipa wa klabu ya soka ya Liverpool, Simon Mignolet anasema kwamba anashangazwa sana na suala la klabu hiyo ya Anfield kumpa ruhusa golikipa Loris Karius kujiunga na klabu ya soka …
Woods Aongelea Uhusiano na Trump
Bingwa wa mchezo wa gofu, Tiger Woods amegusia kuhusu uhusiano wake na raisi wa Marekani bwana Donarld Trump wakati akifanyiwa mahojiano huko New Jersey. Woods alizungumzia ukaribu wake na Trump …
Ronaldo Angejifunza kwa Messi
Aliyekuwa kiungo wa Real Madrid Rafael Van Der Vaart anasema Ronaldo angejifunza kutoka kwa Messi na kubakia Real Madrid. Ronaldo ambaye aliondoka Real na kujiunga na Juventus alikuwa mchezaji muhimu sana …
Uso kwa Uso Mourinho na Pochettino Leo
Man utd anamkaribisha Tottenham wa Pochettino pale Old Trafford, wote wamecheza mechi mbili mpaka sasa. Wakati Spurs akianza vizuri kwa kushinda mechi zake zote dhidi ya Newcastle United na Fulham, …
Mario Mandzukic Achomoa Kwenda Man Utd
Straika wa Juventus Mario Mandzukic amechomoa ofa ya kuhama Juventus na kujiunga na mashetani wekundu. Mwanzo ililipotiwa kuwa Mourinho alikuwa anamfukuzia straika huyo kwa mbinde. Mario Mandzukic ambaye ana umri wa miaka …

