Guerrero Ahukumiwa Kutocheza
Paolo Guerrero kwa sasa hataweza kuichezea timu yake mpya ya International kutoka Brazili kutokana na hukumu aliyopewa inayoimzuia kucheza soka kutokana na matumizi ya dawa za kulevya. Awali mkali huyu …
Ofa ya Betis Kwa Man City
Ripoti zinadai kuwa Real Betis wametoa ofa rasmi kwa Manchester city kumchukua Oleksandr Zinchenko kwa mkopo huku wakifikiria kumchukua moja kwa moja. Chanzo cha habari cha kihispania Mundo Deportivo kinaripoti kuwa …
Maguire Kusalia Leicester
Mchezaji beki wa Leicester City, Harry Maguire yupo karibuni kutia wino kwenye mkataba mpya klabuni kwake baada ya dirisha la usajili kufungwa mwezi huu wakati iliposemekeana kuwa alikuwa mbioni kuondoka …
Washindani wa Kaka Ballon d’Or
Cristiano Ronaldo na Lionel Messi wameitawala tuzo hii kwa mda sasa. Mda unaenda haraka na kukaribia kupatikana mshindi wa tuzo ya Ballon d’Or. Kaka, staa ambaye amewahi kuwa Real madrid …
Madrid kulipa £35m kwa Rodriguez
Real Madrid wameripotiwa kuwa wapo katika mchakato wa kufikiria uwezekano wa kufanya malipo ya euro milioni 35 kwa ajili ya kumrududisha James Rodriguez ambaye yupo kwa mkopo Bayern Munich. Mabingwa …
Kompany Kuongeza Mda Manchester City
Kapteni wa Manchester City Vincent Kompany hafikirii kuiacha ligi ya Primier kwa sasa, anasisitiza hata katika umri wa miaka 32 bado anakuwa na uwezo wa kucheza kwa kiwango kikubwa. Kwa sasa …
FIFA: Marin Miaka 4 kwa Rushwa
Aliyekuwa mkuu wa chama cha mpira wa miguu nchini Brazil 2012-2015 bwana Jose Maria Marin amehukumiwa jela miaka 4 baada ya kupatikana na hatia ya rushwa. Mkuu huyu mwenye umri wa …
Man City: Bravo Apata Mbadala
Manchester City wamemrudisha Aro Muric mwenye miaka 19, aliyekuwa NAC Breda kwa mkopo kutokana na jeraha la Bravo ambaye anahofiwa kuwa jeraha lake litaendelea kuwa kikwazo. Bravo ambaye alipata jeraha …
Ronaldo: “Asante Cuadrado”
Cristiano Ronaldo alikuwa anafikiria ruhusa kutoka kwa Juan Cuadrado kabla ya kuchukua jezi namba 7 pale juventus. Jezi hii ni jezi ninayoipenda zaidi, anasema Ronaldo ambaye alihamia timu hiyo mwezi uliopita …
Mwanaspoti wa Kike Tajiri Zaidi
Serena williams anachukua nafasi ya kwanza kwa wanaspoti wa kike wenye utajiri zaidi. Serena Williams ambaye ni bingwa mara 23 wa Grand Slam anaripotiwa kuwa wa kwanza kwa mastaa wa …

