FIFA: Marin Miaka 4 kwa Rushwa

Aliyekuwa mkuu wa chama cha mpira wa miguu nchini Brazil 2012-2015 bwana Jose Maria Marin amehukumiwa jela miaka 4 baada ya kupatikana na hatia ya rushwa. Mkuu huyu mwenye umri wa miaka 86 alikuwa miungoni mwa maofisa 7 wa FIFA waliokamatwa mei 2015 katika hotel huko Zurich kwa madai ya rushwa.

Alihukumiwa na hakimu Pamela Chen katika mahakama iliyopo Blooklyn  akiwa ni ofisa wa kwanza kuhukumiwa kama sehemu ya  uchunguzi wa skendo ya rushwa ndani ya FIFA uliofanywa na marekani. Marin ambaye amewahi kuwa gavana wa Sao Paulo, mwaka uliopita alipatikana na na makosa 7 dhidi yake yanayohusiana na rushwa.

Marin anadaiwa kupokea rushwa kutoka kwa makampuni mbalimbali ya kutangaza michezo kama Copa America, mwanasheria wa Marin anadai kuwa watakata rufaa kwa hukumu hiyo.

2 Komentara

    Pole yake

    Jibu

    Noma sana

    Jibu

Acha ujumbe

Meridianbet
Privacy Overview

This website uses cookies so that we can provide you with the best user experience possible. Cookie information is stored in your browser and performs functions such as recognising you when you return to our website and helping our team to understand which sections of the website you find most interesting and useful.