Ronaldo: "Asante Cuadrado"

Cristiano Ronaldo alikuwa anafikiria ruhusa kutoka kwa Juan Cuadrado kabla ya kuchukua jezi namba 7 pale juventus. Jezi hii ni jezi ninayoipenda zaidi, anasema Ronaldo ambaye alihamia timu hiyo mwezi uliopita akitokea Real Madrid kwa usajili wa kihistoria katika timu hiyo.

Kwa upande wa Cuadrado yeye alikuwa na furaha tu kwa kumpokea Ronaldo akitokea Real kwenye timu hiyo,  Cuadrado ndio alikuwa namba saba, lakini alikiri yeye anafuraha kumkabidhi Ronaldo jezi hiyo. Ronaldo ambaye aliongea na timu, pia akaongea na Cuadrado ili kuinasa jezi namba 7 ambayo anaipenda zaidi.  “Ninafuraha sana kwa sababu timu imenisaidia na Cuadrado nae amekubali pia, nashukuru sana Cuardrado” ni maneno ya Ronaldo baada ya kujihakikishia ameibamba jezi hiyo.

 

3 Komentara

    Cr 7 mkali wao

    Jibu

    Ni safi

    Jibu

    Gud news

    Jibu

Acha ujumbe

Meridianbet
Privacy Overview

This website uses cookies so that we can provide you with the best user experience possible. Cookie information is stored in your browser and performs functions such as recognising you when you return to our website and helping our team to understand which sections of the website you find most interesting and useful.