Mchezaji beki wa Leicester City, Harry Maguire yupo karibuni kutia wino kwenye mkataba mpya klabuni kwake baada ya dirisha la usajili kufungwa mwezi huu wakati iliposemekeana kuwa alikuwa mbioni kuondoka kwa Mbweha hao.
Kwa sasa Maguire ana umri wa miaka 25 na alikuwa analipwa mshahara wa paundi 45,000 kwa juma hapo Leicester lakini wakati huu Leicester wanataka kumuongezea mpaka kiasi cha paundi 75,000 kwa juma ili wamshawishi mlinzi huyo abakie klabuni hapo.


Issa
Awez kubakia hapo sababu kiwango chake kipo juu
Povel
Hatafute timu kubwa beki kitasa