Luiz Philipe: “Kuichezea Lazio ni Ndoto Kwangu”
Mchezaji wa Lazio mwenye uraia wa Brazili na Italia, Luiz Filipe anasema kuchezea klabu hiyo ni “Ndoto”. Philipe mwenye umri wa miaka 21 aliingia Lazio mwaka 2016 kisha akaondoka kwenda …
Nadal Aendeleza Ushindi US Open
Bingwa mtetezi kwenye michuano ya tenisi ya US Open Rafael Nadal, ameendelea kukonga nyoyo za mashabiki wake kwa ushindi dhidi ya Dominic Thiem. Mechi yao inadaiwa kuwa ndefu zaidi kwa …
Messi Ametaja Klabu 2 Bora Duniani
Staa wa soka kutoka Barcelona, ambaye ametemwa katika kinyang’anyiro cha mchezaji bora wa FIFA Lionel Messi amezitaja klabu anazoamini ndio kubwa zaidi duniani. Mesi amezitaja timu yake ya Barcelona na …
Henderson: Anadai Wataongozwa na Mzimu wa Croatia!
Kiungo wa Liverpool Jordan Henderson, mwenye miaka 28 ambaye alikuwa mmoja wa wachezaji muhimu kwenye Kombe la Dunia katika kikosi cha timu ya taifa ya Uingereza anasema kichapo walichokipata dhidi …
Gaucho Anamkubali Nani: Lionel Messi au Cr7?
Kwenye mahojiano ambayo staa wa zamani wa klabu ya Barcelona na timu ya taifa ya Brazil, Ronaldinho Gaucho ameyafanya na jarida la SPORTS la huko Hispania ameongelea mambo mengi kuhusu …
Gemu za Hispania na Uswis Zinampita Raheem Sterling
Raheem Sterling ambaye ni mchezaji kiungo cha mbele wa klabu ya Manchester City amejitoa kwenye kikosi cha Uingereza kwenye mechi dhidi ya Hispania na Uswis zitakazoanza karibuni! Sababu ni nini? …
Mshangao wa Messi Kuhusiana na Ronaldo!
Msakata kabumbu mshambuliaji wa klabu ya soka ya Barcelona ambaye ana umri wa miaka 31 raia wa Argentina, Lionel Messi amesema kwamba yeye alishangazwa sana na maamuzi ya mshambuliaji mwenye …
Rodger Federer Atupwa! Djokovick Anabamba!
Kila mchezo una maajabu yake! Haikutarajiwa! Ni kwamba mshindi mara 20 wa Grand Slam kutoka Uswisi, Rodger Federer amejikuta yupo nje ya michuano ya Us Open! Hii ni mara baada …
Diego Costa Amejitoa Kwenye Kikosi Cha Taifa
Straika wa Uhispania, Diego Costa amejitoa katika kikosi cha taifa cha Hispania kinachoenda kucheza katika Ligi ya Mataifa -Uefa dhidi ya Croatia na Uingereza kwa sababu zake binafsi. Taarifa Kutoka …
Palegri Nje ya Kikosi Cha Taifa Italia
Straika wa Monaco Muitalia Pietro Pellegri amechomolewa rasmi katika kikosi cha timu ya taifa ya Italia katika mechi mbili zijazo. Pietro Pellegri alipata wito katika kikosi cha timu hiyo kwa …

