Klabu ya Sunderland inataka kumfungulia mashtaka mchezaji wao mwenye umri wa miaka 24, Didier Ndong!
Wanamtaka awalipe kiasi cha £13.6m mara baada ya kushindwa kuwasili klabuni kwake tangu msimu huu uanze. Sunderland wanakiri kuwa mpaka sasa wao hawajuia mahali ambapo mchezaji huyo wa Gabon yupo!
Wiki iliyopita mchezaji beki wa Senegal, Papy Djilobodji alirudi klabuni pale kwa mujibu wa Guardian. Mmiliki wa klabu hiyo, Stewart Donald alilalamika sana kwamba wachezaji hao wawili wanakiuka mikataba yao.
Povel
Gud news
Fatina mfingi
Bora wamfunze adabu