Bayern Wanataka Kukamilisha Dili la Kim Siku Chache Zijazo
Beki wa kati wa Napoli Kim Min-jae anakaribia kujiunga na mabingwa wa Bundesliga Bayern Munich na kwa mujibu wa Florian Plettenberg, kupitia Sky Sport Germany, The Bavarians wanataka kumalizia dili …
Lukaku Anafikiria Tena Al Ahli Huku Mazungumzo Kati ya Chelsea na Inter Yakiwa Yamekwama
TMW inadai kuwa Romelu Lukaku ameanza kufikiria upya wazo la kujiunga na Al Ahli baada ya mazungumzo kukwama kati ya Chelsea na Inter. Mchezaji huyo mwenye umri wa miaka …
Tottenham Wamefikia Makubaliano na Empoli Kumnunua Golikipa Vicario
Tottenham Hotspur wanaripotiwa kukaribia kukubaliana rasmi juu ya dili la kumsajili golikipa Guglielmo Vicario kutoka Empoli. Gianluca Di Marzio ameripoti kwamba makubaliano kimsingi yamefikiwa kati ya vilabu hivyo viwili, …
Dzeko Yuko Tayari Kusaini Fenerbahce
Ripoti kutoka Uturuki zinaonyesha kuwa maelezo ya mwisho ya Edin Dzeko kuhamia Fenerbahce yametatuliwa, na kuruhusu Mbosnia huyo kuweka kalamu kwenye karatasi. Mkataba wa mshambuliaji huyo mwenye umri wa …
Juventus Wamemsajili Milik kwa Mkataba wa Kudumu Kutoka Marseille
Juventus wamethibitisha kumsaini mchezaji wa kimataifa wa Poland Arkadiusz Milik kwa mkataba wa kudumu kutoka Marseille, baada ya kukaa msimu wa 2022-23 Turin kwa mkataba wa mkopo wa awali na …
Juventus Wakutana na Sassuolo Kujadili Kuhusu Frattesi Anayelengwa na Inter
Gianluca Di Marzio anaripoti kuwa kaimu mkurugenzi wa michezo wa Juventus Giovanni Manna kwa sasa anakutana na rais wa Sassuolo Giovanni Carnevali kujadili kuhusu dili la Davide Frattesi. Kiungo …
Onyango Atafutiwa Mrithi Simba
TAARIFA zinasema kuwa Simba imeanza mazungumzo rasmi na Klabu ya Cotton Sports ya Cameroon kwa ajili ya kumsajili beki wa kati wa timu hiyo, Che Fondoh Malone ambaye anatajwa kuwa …
Nabi Mambo Magumu Kaizer Chiefs
Taarifa kutoka Afrika kusini zimethibitisha kuwa Hakuna Uwezekano tena wa Kocha Nasreddine Nabi kujiunga na klab ya Kaizer Chiefs na tayari Muwakilishi wa kocha huyo aliyekuwa Afrika Kusini tayari ameondoka …
Matola Atua Ghana
Kocha wa timu ya vijana Simba, Selemani Matola, ameshatua katika ardhi ya Ghana kwenye mashindano ya vijana chini ya miaka 23 yatakayodumu kwa siku nne, Matola amesema siyo kweli kwamba …
SIMBA WATUA KWA KIUNGO WA UGANDA
MILTON Karisa nyota mwenye miaka 27 anayekipiga ndani ya Vipers ya Uganda anatakiwa kuwa katika hesabu za Simba. Kiungo huyo amewahi kufanya kazi na Robert Oliviera ambaye ni Kocha Mkuu …

