Azam Yamuongezea Mkataba Bajana
SOKA LA BONGO

Klabu ya Azam Fc imefanikiwa kumuongezea mkataba kiungo wake matata klabuni hapo Sospeter Bajana ambaye ataendelea kusalia nda ni ya timu hiyo mpaka Juni 2026. Azam wameachana na wachezaji wengi …

Soma zaidi
Di Maria Njiani Kurejea Benfica
Daily News

Winga wa zamani wa vilabu vya Real Madrid, Manchester United, PSG, na klabu ya Juventus Angel Di Maria ameamua kurejea kwenye klabu yake ya zamani klabu ya Benfica. Angel Di …

Soma zaidi
Chelsea Waikataa Ofa ya United Tena Kwa Mount
Daily News

Klabu ya Chelsea imekataa ofa ya klabu ya Manchester United kwa mara nyingine kwajili ya kumsajili kiungo wa klabu hiyo raia wa kimataifa wa Uingereza Mason Mount. Chelsea walikataa ofa …

Soma zaidi
Arsenal na Havertz Mambo ni Shwari
Daily News

Klabu ya Arsenal imekaribia kukamilisha usajili wa kiungo wa kimataifa wa Ujerumani Kai Havertz alieykua anakipiga katika klabu ya Chelsea kwa usajili wa Euro milioni 65. Arsenal inapambana kuhakikisha inafanya …

Soma zaidi
Timu Samatta Yaibuka Kidedea dhidi ya Timu Kiba
SOKA LA BONGO

Timu Samatta imefanikiwa kuifunga timu ya Alikiba yaani Team Kiba katika mchezo wa hisani uliopigwa katika dimba la Chamazi leo kwa mabao manne kwa mawili. Timu Samatta wameweza kulipiza kipigo …

Soma zaidi
Manchester United Yamuuza Kinda Wake
Daily News

Klabu ya Manchester United yakubali kumuuza kinda wake raia wa kimataifa wa Iraq mwenye umri wa miaka 20 kwenda klabu ya Utrecht ya nchini Utrecht. Manchester Unired imekubali kumuachia kinda …

Soma zaidi
Son: Bado Nipo Sana Spurs
Daily News

Winga wa klabu ya Tottenham Hotspurs Heung Ming Son raia wa kimataifa wa Korea Kusini amesema hana mpango wa kuondoka ndani ya klabu hiyo na kutimkia Uarabuni. Winga Son ameyasema …

Soma zaidi
Manchester United Yavutiwa na Dimarco
Daily News

Klabu ya Manchester United inavutiwa na beki wa kushoto wa klabu ya Inter Milan ya nchini Italia Federico Dimarco kwajili ya kuboresha kikosi chake kwajili ya msimu ujao wa ligi …

Soma zaidi
Bacca Kuvuna Mkwanja Mrefu Yanga
SOKA LA BONGO

Beki wa kazi ndani ya kikosi cha Yanga ambao ni mabingwa wa Ligi Kuu Bara msimu wa 2022/23 Ibrahim Hamad Bacca ataboreshewa mshahara pamoja na mkataba wake.   Beki huyo …

Soma zaidi
Ishu ya Bangala na Djuma Kutoka Yanga Ipo Hivi
SOKA LA BONGO

Djuma Shaban na Yannic Bangala wanatajwa kuomba kuondoka ndani ya kikosi cha Yanga.   Habari zinaeleza kuwa kuondoka kwa Nasreddine Nabi ndani ya Yanga kwenye benchi la ufundi kunawafanya mastaa …

Soma zaidi
1 2 3 465 466 467 468 469 470 471 2,271 2,272 2,273
Meridianbet
Privacy Overview

This website uses cookies so that we can provide you with the best user experience possible. Cookie information is stored in your browser and performs functions such as recognising you when you return to our website and helping our team to understand which sections of the website you find most interesting and useful.