Nacho Kuendelea Kukipiga Ndani ya Madrid
Beki wa klabu ya Real Madrid raia wa kimataifa wa Hispania Nacho Fernandez ataendelea kukipiga ndani ya klabu hiyo baada ya kukubali kusaini mkataba mpya wa kuendelea kusalia ndani ya …
Inter Wanajiandaa kwa Msimu Ujao Baada ya Kupoteza Fainali ya Ligi ya Mabingwa
Simone Inzaghi atapumzika kwa siku chache kabla ya kukutana na wasimamizi wa Inter wiki ijayo ili kutathmini hali ya sasa na mipango yao ya baadaye. Inter walifanya mchezo mzuri …
Guardiola: Uefa ni Michuano Migumu Kushinda
Kocha wa klabu ya Manchester City raia wa kimataifa wa Hispania Pep Guardiola amesema kushinda taji la ulaya ni ngumu zaidi kuliko michuano mingine. Guardiola aliyasema hayo wakati anazungumza na …
Guardiola Hawezi Kuficha Kuwa Yeye ni Shabiki Mkubwa wa Kipa wa Inter na Anayelengwa na Chelsea Onana
Kocha wa Manchester City Pep Guardiola hakujificha kuwa shabiki mkubwa wa kipa wa Inter André Onana kabla na baada ya Fainali ya Ligi ya Mabingwa dhidi ya Nerazzurri hapo jana. …
Olympique Marseille Inazingatia Kumuajiri Grosso
Gianluca Di Marzio inaripoti kuwa, Olympique Marseille wanatafuta mbadala wa Igor Tudor na wameanza kufikiria kumnunua kocha wa Frosinone Fabio Grosso. Tudor alichukua nafasi ya Jorge Sampaoli kwenye kikosi …
Gwiji wa Man Utd Adai De Gea Anafaa Kuwa Chaguo No.1
Gwiji wa Manchester United Dwight Yorke alidai kwamba mlinda mlango David de Gea anafaa kuendelea kuwa chaguo nambari 1 wa klabu hiyo. Tembelea duka la ubashiri-Meridianbet kutandika jamvi lako kwa …
Sancho Afanya Mazungumzo na Ten Hag Kusalia Utd
Jadon Sancho ameripotiwa kuwa na mazungumzo ya kina na kocha Erik ten Hag kuhusu mustakabali wake. Beti na Meridianbet kwa odds kubwa na machaguo kibao, pia unaweza kubashiri mubashara. Nyota …
Kwanini Milan Wanajiamini Kuwa Wanaweza Kuwashinda PSG kwa Thuram?
Milan wanafanya bidii kumshawishi Marcus Thuram ajiunge na klabu hiyo kwa uhamisho wa bure lakini wanahitaji kupambana na ushindani mkubwa kutoka kwa Paris Saint-Germain. Mshambuliaji huyo wa Ufaransa mwenye …
Guerreiro Kusaini Bayern Munich
Beki wa zamani wa klabu ya Borussia Dortmund raia wa kimataifa wa Ureno Raphael Guerreiro anatarajia kusaini mkataba na klabu ya Fc Bayern Munich kama mchezaji huru akitokea Dortmund. Beki …
Ferdinand: “Sote Tunakubali Pep ni Mmoja wa Makocha Wakubwa Kabisa”
Beki wa zamani wa Manchester United, Rio Ferdinand anaamini Pep Guardiola hakuhitaji kukiongoza kikosi chake kutwaa mataji matatu ya kihistoria ili kujiweka kwenye kinyang’anyiro cha kuwania meneja “mkubwa zaidi” wa …

