KMC na Mbeya City Kucheza Play-Off Ili Wabaki Ligi Kuu
Klabu ya KMC watacheza michezo ya Play-Off ili kubaki ligi kuu ya NBC msimu ujao licha ya kushinda hii leo dhidi ya Mbeya City ugenini. KMC ameshinda bao 1-0 …
Mshambuliaji wa Inter Dzeko Anatakiwa na Fenerbahce
Mshambuliaji wa Inter Edin Dzeko anatarajiwa kuanza Fainali ya Ligi ya Mabingwa, lakini unaweza kuwa mchezo wake wa mwisho kwa klabu hiyo baada ya Fenerbahce kuripotiwa kutoa ofa kubwa. …
Ten Hag: Lindelof Haguswi
Kocha wa klabu ya Manchester United Erik Ten Hag amesema kua beki wake raia wa kimataifa wa Sweeden Victor Lindelof haguswi na yupo kwenye mipango yake ya muda mrefu ndani …
Meridianbet: Msimu 2022/23 Haukuwa Mzuri kwa Wazawa
Hapo ni wakati wa kutumia makosa ambayo yametokea kwenye mzunguko huu na kufanyia kazi kwa umakini kupata matokeo mazuri. Tembelea duka la ubashiri-Meridianbet kutandika jamvi lako kwa odds kubwa. Ushindani …
Manchester City Kuweka Rekodi Kesho
Klabu ya Manchester City wana nafasi ya kuweka rekodi kedekede kesho kama watafanikiwa kutwaa ubingwa wa ulaya katika fainali itayopigwa kesho dhidi ya klabu ya Interzionale Milan ya nchini Italia. …
Simba SC Wavuta Kiungo Mcameroon
INAELEZWA kuwa Klabu ya Simba ya Tanzania imefikia makubaliano ya kuinasa saini ya winga anayekipiga Klabu ya Rayon Sports ya Rwanda Leandre Essomba Willy Onana. Tembelea duka la ubashiri-Meridianbet kutandika …
Simba na Yanga Kugombania Kiatu cha Dhahabu Leo
KIGONGO cha 30 kwa timu zote ndani ya Ligi Kuu Bara ni leo Juni 9,2023 mwisho wa ubishi kwenye vita ya ufungaji bora kati ya Simba na Yanga na timu …
Greenwood Kutolewa kwa Mkopo
Manchester United wanaripotiwa kufikiria kumtoa kwa mkopo mchezaji wao Mason Greenwood msimu ujao. Tembelea duka la ubashiri-Meridianbet kutandika jamvi lako kwa odds kubwa. Mchezaji huyo mwenye umri wa miaka 21 …
Harry Maguire Hataki Kuondoka United
Harry Maguire anasitasita kuondoka Manchester United licha ya kupewa mkono wa kwaheri na mabingwa mara 20 wa Premier League. Tembelea duka la ubashiri-Meridianbet kutandika jamvi lako kwa odds kubwa. Klabu …
Liverpool Kumsajili Kiungo wa Nice Khephren Thuram
BAADA ya kukamilisha usajili wa Alexis Mac Allister, Liverpool wanataka kumsajili tena kiungo wa Nice Khephren Thuram kuendelea kujiimarisha zaidi msimu ujao. Beti na Meridianbet kwa odds kubwa na machaguo …

