Onana Aiduwaza Dunia Usiku wa Fainali ya Ulaya
Golikipa wa klabu ya Inter Milan na timu ya taifa ya Cameroon Andre Onana amekua midomoni mwa mashabiki wa soka ulimwenguni baada ya kiwango bora sana kwenye fainali ya ligi …
Pep Guardiola: Nilitumiwa Ujumbe na Furgeson Kabla ya Mechi
Pep Guardiola alifichua kwamba alipokea ujumbe kutoka kwa Sir Alex Ferguson asubuhi ya fainali ya Ligi ya Mabingwa-UCL. Tembelea duka la ubashiri-Meridianbet kutandika jamvi lako kwa odds kubwa. Kocha huyo …
Usaijili wa Chelsea na Man Utd Meslier Ataja Mustabali Wake na Leeds
Illan Meslier anayelengwa na Chelsea & Man Utd ametoa taarifa kuhusu mustakabali wake na Leeds kufuatia kushuka daraja. Beti na Meridianbet kwa odds kubwa na machaguo kibao, pia unaweza kubashiri …
Yanga Yaanza Safari Kuifata Azam FC Tanga
Klabu ya Yanga imeanza safari hii leo ya kuelekea jijini Tanga kwaajili ya kukipiga kwenye fainali ya Kombe la Shirikisho la Azam ambao umepangwa kupigwa katika dimba la Mkwakwani. …
Rais wa PSG Akana Kumshawishi Sheikh Jassim Al Thani Kuinunua United
Rais wa Paris Saint-Germain Nasser Al-Khelaifi amekana kuhusika na mpango wa Sheikh Jassim Bin Hamad Al Thani kutaka kuinunua Manchester United. Tembelea duka la ubashiri-Meridianbet kutandika jamvi lako kwa odds …
Spurs Wanafikiria Kumnunua Sancho kwa Pauni Milioni 50
Tottenham Hot Spurs wanafikiria kumnunua winga wa Manchester United Jadon Sancho kwa pauni milioni 50. Sancho mwenye miaka 23, alijiunga na Mashetani Wekundu kutoka Borussia Dortmund kwa pauni milioni …
Mayele na Aziz Ki Kuikosa Azam Kesho
Mastaa wawili wa Yanga, Fiston Mayele na Stephane Aziz KI, wataukosa mchezo wa kesho wa fainali ya Kombe la Shirikisho la Azam (ASFC) dhidi ya Azam FC utakaopigwa kwenye Uwanja …
Aston Villa Wamemsajili Tielemans Kutoka Leicester
Aston Villa wamekubali dili la kumsaini mchezaji wa kimataifa wa Ubelgiji Youri Tielemans mkataba wake na Leicester iliyoshuka daraja utakapomalizika. Villa wamethibitisha kuwa kiungo huyo mwenye umri wa miaka …
United Wanamuwinda Kipa No. 1 wa Uingereza Kumrithi de Gea
Manchester United wako tayari kumsajili kipa namba moja wa England Jordan Pickford kama mrithi wa David de Gea ikitokea ataondoka au kusalia klabuni hapo. Beti na Meridianbet kwa odds kubwa …
Mtazamo wa Guardiola Akitwaa Kombe la Manchester City Baada ya Ushindi Mara Tatu
Pep Guardiola ameshinda taji lake kuu la 12 akiwa na Manchester City baada ya timu yake kunyakua taji la Ligi ya Mabingwa ambalo wamekuwa wakiliwinda kwa muda mrefu. Baada …

