Yanga Yaanza Safari Kuifata Azam FC Tanga

Klabu ya Yanga imeanza safari hii leo ya kuelekea jijini Tanga kwaajili ya kukipiga kwenye fainali ya Kombe la Shirikisho la Azam ambao umepangwa kupigwa katika dimba la Mkwakwani.

 

Yanga Yaanza Safari Kuifata Azam FC Tanga

Azam wao walishatangulia wakiwasubiri Yanga ambao bado wlaikuwa jijini Dar es salaam kusherehekea Ubingwa wao wa pili mfululizo ambao wameupata msimu huu ikiwa ni kombe la 29.

Kila timu inahitaji kupata kombe hilo ili kujiongezea mataji mengi ambayo wanayo mpaka sasa, huku kuna taarifa zikisema kuwa klabu hiyo ya Wananchi watawakosa wachezaji wao Mayele pamoja Aziz Ki.

Yanga Yaanza Safari Kuifata Azam FC Tanga

Yanga ndio bingwa mtetezi wa ligi hadi sasa akijikusanyia pointi zao 78 huku Wanalamba lamba wao wakipata pointi zao 59 pekee kwenye michezo 30 ambayo wamecheza hadi ligi kumalizika.

Mechi ya mwisho kukutana, vijana wa Nabi waliondoka na ushindi na kesho vijana wa Chamazi wanasema wanataka kumfunga kama walivyomfunga pacha wake.

 

 

 

Acha ujumbe

Meridianbet
Privacy Overview

This website uses cookies so that we can provide you with the best user experience possible. Cookie information is stored in your browser and performs functions such as recognising you when you return to our website and helping our team to understand which sections of the website you find most interesting and useful.