Dirisha Lafunguliwa Uingereza
Dirisha la usajili limefunguliwa rasmi nchini Uingereza rasmi leo kwajili ya timu mbalimbali kufanya usajili katika dirisha hili kubwa mpaka pale ambapo litafungwa. Timu mbalimbali za Uingereza zitaruhusiwa kufanya usajili …
Bellingham Kutambulishwa Kesho
Kiungo mpya wa klabu ya Real Madrid raia wa kimataifa wa Uingereza Jude Bellingham ambaye alikua anakipiga klabu ya Borussia Dortmund ya nchini Ujerumani atatambulishwa kesho mbele ya mashabiki wa …
Koulibaly Out, Onana Ndani ya Chelsea
Habari za ndani kabisa ni zinaeleza kwamba, Chelsea wako tayari kumtoa beki Kalidou Koulibaly kwenda Inter Milan kama sehemu ya harakati zao za kutaka kumsajili mlinda mlango wa timu hiyo …
Eberechi Eze Majeraha Yamfanya Atambulike Timu ya Taifa Uingereza
Eberechi Eze anaamini kuwa jinamizi lake la majeraha miaka miwili iliyopita lilimpa jukwaa la kutambuliwa England. Tembelea duka la ubashiri-Meridianbet kutandika jamvi lako kwa odds kubwa. Kiungo huyo wa …
Marcus Rashford Hajali Wanaokosoa Kipaji Chake
Marcus Rashford alisema amejitolea kikamilifu kwenye timu yake ya taifa ya Uingereza na hajali ikiwa watazamaji watamkosoa au kutilia shaka kujitolea kwake kwa timu ya taifa. Pata odds kubwa kutoka …
Kylian Mbappe Azungumzia Sakata la Messi Kuondoka PSG
Kylian Mbappe ameibuka tena akizungumzia mapungufu ya klabu yake ya PSG, kumruhusu nyota wa dunia Lionel Messi kuondoka katika hali ya kushangaza. Tembelea duka la ubashiri-Meridianbet kutandika jamvi lako kwa …
Grealish Azua Gumzo
Winga wa klabu ya Manchester City na timuu ya taifa ya Uingereza Jack Grealish amezua gumzo kubwa katika sherehe za ubingwa wa mskombe matatu ambao wameipata klabu yake. Jack Grealish …
Mbappe Kigeugeu
Mshambuliaji wa klabu ya PSG na timu ya taifa ya Ufaransa Kylian Mbappe akanusha suala lake la kutaka kuondoka ndani ya klabu hiyo na kujiunga na wababe wa soka nchini …
Lukaku Avunja Ukimya Baada ya Fainali ya UCL
Mshambuliaji wa Inter Romelu Lukaku anashiriki chapisho lake la kwanza kwenye Instagram tangu Fainali ya Ligi ya Mabingwa na inaonekana ameamua kuwa anataka kubaki na Nerazzurri: ‘Tutapambana ili tufikie wakati …
Sheikh Jassim Anasubiri Kusikia Iwapo Ofa ya Mwisho ya Kuinunua Man Utd Itafanikiwa
Kwa mujibu wa vyanzo vya karibu na Mqatar huyo, Sheikh Jassim bado anasubiri kusikia iwapo ofa yake ya tano na ya mwisho kwa Manchester United imefanikiwa. Ripoti za hivi …

