Acerbi: “Italia Iliifanya Uhispania Ionekane Kuwa na Nguvu Zaidi”
Daily News

Francesco Acerbi anakiri Italia ‘ingepaswa kufanya zaidi na kuifanya Uhispania ionekane kuwa na nguvu zaidi kwa kukosa ujasiri katika kichapo cha 2-1 katika nusu fainali ya Ligi ya Mataifa.   …

Soma zaidi
Rangers Yathibitisha Kumsajili Mshambuliaji wa Atalanta
Daily News

Glasgow Rangers imethibitisha kumsajili mshambuliaji wa Atalanta Sam Lammers kwa mkataba wa kudumu.   Mchezaji huyo mwenye umri wa miaka 26 kutoka Uholanzi amekamilisha uhamisho wa kwenda Scotland baada ya …

Soma zaidi
Milan Yaungana na Arsenal Kwenye Mbio za Kumnasa Chukwueze
Daily News

Kwa mujibu wa Tuttosport, Arsenal wameungana na Milan katika mbio za kumnasa Samuel Chukwueze huku wakiomba taarifa rasmi kuhusu winga huyo wa Villarreal.   The Rossoneri wanasaka winga mpya wa …

Soma zaidi
Zaniolo Avunja Ukimya Baada ya Italia Kurejea na Ujumbe kwa Roma
Daily News

Nicolò Zaniolo anasisitiza timu ndio kitu muhimu zaidi mbele ya Uhispania dhidi ya Italia katika nusu fainali ya Ligi ya Mataifa na anasisitiza kuwa anafuraha kujiunga na Galatasaray kutoka Roma …

Soma zaidi
Napoli Wamemsajili Simeone kwa Mkataba wa Kudumu
Daily News

Giovanni Simeone amekamilisha uhamisho wa kudumu kwenda Napoli baada ya kudumu kwa mwaka mmoja Stadio Maradona.   Mabingwa hao wa Serie A wamethibitisha uhamisho wa kudumu wa Simeone kwa taarifa …

Soma zaidi
Immobile: “Hispania Haikuwa na Nafasi Nyingi Kuzidi Italia”
Daily News

Ciro Immobile anasisitiza kuwa Uhispania haikutengeneza nafasi nyingi zaidi kuliko Italia na ‘sare ilikuwa ya haki’ katika nusu fainali ya Ligi ya Mataifa, lakini iliishia kwa kupoteza 2-1.   Immobile …

Soma zaidi
Mancini: “Hispania Ilistahili Kushinda Dhidi ya Italia”
Daily News

Kocha mkuu wa Italia, Roberto Mancini amekiri kuwa Uhispania ilistahili kushinda dhidi ya Italia hapo jana Italia.   The Azzurri walipoteza kwa mabao 2-1 katika nusu fainali ya Ligi ya …

Soma zaidi
Rio Ferdinand: Ununuzi wa United kwa Qatar Umekaribia
Daily News

Gwiji na beki wa zamani wa klabu ya Manchester United na timu ya taifa ya Uingereza Rio Ferdinand amesema klabu ya Manchester United ipo kwenye hatua za mwisho kununuliwa na …

Soma zaidi
Hispania Dhidi ya Italia Leo Nations League
UEFA Nations League

Timu ya taifa ya Hispania leo itamenyana na timu ya taifa ya Italia leo katika mchezo wa nusu fainali ya kombe la Uefa Nations League utakaopigwa katika dimba la Glorsch …

Soma zaidi
Panga la Maana Linapita Azam FC
SOKA LA BONGO

KLABU ya Azam FC inafanya mabadiliko makubwa ya kikosi chao na kinachoendelea kwa sasa kwao ni kuwaacha wachezaji ambao wameonekana kutokuwa na msaada kwao. Pata odds kubwa kutoka Meridianbet kwa …

Soma zaidi
1 2 3 470 471 472 473 474 475 476 2,271 2,272 2,273
Meridianbet
Privacy Overview

This website uses cookies so that we can provide you with the best user experience possible. Cookie information is stored in your browser and performs functions such as recognising you when you return to our website and helping our team to understand which sections of the website you find most interesting and useful.