Manchester United Waonyesha Dalili za Kumtaka Zielinski wa Napoli
Daily News

Manchester United wameonyesha nia ya kutaka kumnunua kiungo wa Napoli Piotr Zielinski endapo watashindwa kupata chaguo lao la kwanza kwa mujibu wa ripoti ya hivi punde ya Manchester Evening News. …

Soma zaidi
Yanga Suala la Nabi Mbona Hamueleweki?
SOKA LA BONGO

Kuna Taarifa kutoka Yanga inaeleza kuwa Uongozi wa klabu hiyo umeachana na Kocha mkuu wa timu hiyo Mtunisia Nasradinne Nabi, baada ya kumfuata na kumshawishi kocha huyo kuongeza mkataba mpya. …

Soma zaidi
Conte Arudi Ambapo Mambo Yote Yalianza
Daily News

Kocha wa zamani wa Juventus na Inter Antonio Conte alirejea Arezzo jana na kuchapisha baadhi ya picha kutoka uwanja wa Amaranto: ‘Yote yalianzia hapa.’   Mtaalamu huyo wa Kiitaliano alipokea …

Soma zaidi
Chelsea Waipiga Chini Ofa ya United kwa Mount
Daily News

Klabu ya Chelsea imeipiga chini ofa ya klabu ya Manchester United ya euro milioni 40 kwa kiungo wake Mason Mount ikielezwa klabu hiyo imeshikilia msimamo wa euro milioni 80. Chelsea …

Soma zaidi
Rashford Achukizwa na Ubingwa wa City
Daily News

Mshambuliaji wa klabu ya Manchester United na timu ya taifa ya Uingereza Marcus Rashford amekiri kutokufurahishwa na ubingwa wa klabu ya Manchester City ambao ni majirani zao katika jiji la …

Soma zaidi
Arsenal Yamgeukia Havertz
Daily News

Klabu ya Arsenal inafanya mazungumzo na mchezaji wa Chelsea raia wa kimataifa wa Ujerumani Kai Havertz kwajili ya kumsajili katika dirisha hili kubwa. Arsenal wanataka kuwasilisha ofa kwa klabu ya …

Soma zaidi
Nabi Kutimka Jangwani Muda Wowote
SOKA LA BONGO

Kocha wa klabu ya Yanga Nassredine Nabi taarifa zinaeleza kua kocha huyo raia wa kimataifa wa Tunisia atatimka ndani ya klabu hiyo muda wowote kuanzia sasa. Kocha Nabi inaelezwa ameshawaeleza …

Soma zaidi
Simba Yafanya Umafia Usajili wa Onana
SOKA LA BONGO

INAELEZWA kuwa, kiungo mshambuliaji wa Rayon Sports, Leandre Essomba Willy Onana ambaye raia wa Cameroon, amekuja ar es Salaam kwa siri kwa ajili ya kufanikisha dili la kujiunga na Simba. …

Soma zaidi
James Milner Ajiunga Brighton
Daily News

Kiungo wa zamani wa vilabu vya vilabu vya Aston Villa na Manchester City ambaye alikua anakipiga ndani ya klabu ya Liverpool James Milner amejiunga na klabu ya Brighton kwa uhamisho …

Soma zaidi
Yanga Watangaza Vita Mpya ya Usajili
News

RAIS wa Yanga, Injinia Hersi Said, amepiga mkwara mzito kuhusu masuala ya usajili akiweka wazi kuwa jina lolote atakalopewa atafanyia kazi kuhakikisha anamleta mchezaji huyo.Tembelea duka la ubashiri-Meridianbet kutandika jamvi …

Soma zaidi
1 2 3 472 473 474 475 476 477 478 2,271 2,272 2,273
Meridianbet
Privacy Overview

This website uses cookies so that we can provide you with the best user experience possible. Cookie information is stored in your browser and performs functions such as recognising you when you return to our website and helping our team to understand which sections of the website you find most interesting and useful.