Simba Yaifuata Namungo Lindi
Klabu ya Simba imeanza safari hii leo ya kuifuata Namungo FC kwaajili ya mchezo wao wa ligi kuu ya NBC ambao unatarajiwa kupigwa siku ya Jumatano katika dimba la Majaliwa. …
Howe Hana Shaka Gordon Atakuwa Mchezaji Bora wa Newcastle
Eddie Howe ana uhakika Anthony Gordon atakuwa mchezaji bora wa Newcastle inayofukuzia Ligi ya Mabingwa licha ya kuifunga mapema Southampton. Usajili huo wa pauni milioni 45 Januari ulianza mara …
Alvarez: “Kila Mchezo ni Fainali Kwetu”
Julian Alvarez anasisitiza “kila mchezo ni fainali” kwa Manchester City baada ya bao lake la ushindi dhidi ya Fulham kupeleka vijana wa Pep Guardiola kwenye kilele cha msimamo wa Ligi …
Jota Atangaza kuwa Liverpool Wamerudi Kwenye Ubora Wao
Diogo Jota ametangaza kuwa Liverpool “wamerudi” baada ya bao lake la dakika za mwisho na kuwapa ushindi wa 4-3 Tottenham kwenye Uwanja wa Anfield. Liverpool walionekana kupata ushindi mnono …
Klopp: ‘Tuna Historia Yetu’, Mwamuzi Tierney Ajiwa Juu na Kocha Huyo
Jurgen Klopp alimkosoa mwamuzi Paul Tierney baada ya kufanya msururu wa maamuzi tata katika ushindi wa Liverpool wa 4-3 dhidi ya Tottenham, akisema kuwa hajui kocha huyo ana nini dhidi …
PSG Yapoteza Nyumbani, Achraf Alamba Umeme
Klabu ya PSG wamepokea kichapo cha mabao 3-1 dhidi ya Lorient hapo jana ambapo baada ya Achraf Hakimi kutolewa nje kwa kadi nyekundu walibaki 10 pekee uwanjani na kuwafanya timu …
Yanga Yaandika Historia Yatinga Nusu Fainali Shrikisho
Klabu ya Yanga imefanikiwa kuandika Historia kwa kutinga hatua ya nusu fainali ya kombe la shirikisho barani Afrika baada ya kuitupa nje Rivers United ya Nigeria kwa jumla ya mabao …
Liverpool Bado Wanaivizia Top Four
Klabu ya Liverpool bado hawajaikatia tamaa nafasi kua kwenye timu nne za juu ambazo zitashiriki ligi ya mabingwa ulaya msimu ujao baada ya kufanikiwa kushinda mchezo wake dhidi ya Tottenham …
Bayern Munich Yarejea Kileleni Bundesliga
Klabu ya Bayern Munich leo imefanikiwa kurejea kwenye njia ya ushindi baada ya kufanikiwa kushinda kwa mabao mawili dhidi ya klabu ya Hertha Berlin katika mchezo wa ligi kuu ya …
Newcastle, Man United Vita ya Top Four Bado Mbichi
Klabu ya Newcastle na Manchester United bado vita ya top four ni mbichi baada ya kushinda michezo yao wote siku ya leo katika ligi kuu ya Uingereza na kendelea kufanya …

