United Wanamtazama Mitoma kwa Ajili ya Kujenga Upya Timu Majira ya Joto
Manchester United imetuma maskauti kumtazama Kaoru Mitoma wakati wakijiandaa kwaajili ya mapumziko chini ya Erik ten Hag. Mitoma mwenye miaka 25, alicheza mechi yake ya kwanza kabisa akiwa na …
Haaland Ajiondoa Kwenye Kikosi cha Norway Baada ya Kupata Jeraha
Erling Haaland atarejea Manchester City kwa uchunguzi wa kufuatia jeraha la paja baada ya kujiondoa kwenye kikosi cha Norway kwa mechi zao mbili za kwanza za kufuzu Euro 2024. …
Mshambuliaji wa Zamani wa Arsenal na City Adebayor Atundika Daluga
Mshambuliaji wa zamani wa Arsenal na Manchester City Emmanuel Adebayor ametangaza kustaafu akiwa na umri wa miaka 39. Nyota huyo wa zamani wa kimataifa wa Togo pia aliwahi kucheza …
Hodgson Arejea Crystal Palace Kwa Mara Nyingine kama Kocha Mkuu
Roy Hodgson ametoka kustaafu na kujaribu kuiokoa Crystal Palace dhidi ya kushuka daraja ambapo ametangazwa hii leo kuwa kocha wa klabu hiyo tena mpaka mwisho wa msimu. The Eagles …
Mitrovic Ashtakiwa Baada ya FA Kuona Adhabu ya Kawaida Haitoshi
Aleksandar Mitrovic anatazamiwa kufungiwa kwa muda mrefu baada ya Chama cha Soka kudai kuwa “adhabu ya kawaida” haitatosha baada ya kumsukuma mwamuzi wakati Fulham ilipochapwa mabao 3-1 na Manchester United …
Deschamps: Mbappe Ana Ujuzi wa Mawasiliano wa Kuwa Nahodha wa Ufaransa
Kylian Mbappe ana sifa za mawasiliano za kuwa nahodha wa Ufaransa, lakini Didier Deschamps hatatilia maanani uchezaji wake wa hivi majuzi kama nahodha wa Paris Saint-Germain anapoamua ni nani atamrithi …
Ratcliffe Hatalipa ‘Bei za Ajabu’ kwa Man Utd kwani Tarehe ya Mwisho Inakaribia
Bilionea wa Uingereza Jim Ratcliffe anasisitiza kuwa hatalipa “bei za kijinga” kwa Manchester United huku muda wa mwisho wa kuinunua klabu ukikaribia. Wamiliki walio madarakani, familia ya Glazer, waliiweka …
Rashford, Mount na Pope Nje ya Kikosi cha Uingereza Huku Forster Akiitwa
Marcus Rashford, Mason Mount na Nick Pope wamejiondoa kwenye kikosi cha Uingereza, huku Fraser Forster, 35, ameitwa kuchukua nafasi ya Pope golikipa namba moja wa Newcastle huku Three Lions ya …
Dimarco Anaweza Kulazimika Kujiondoa kwenye Kikosi cha Italia
Italia inajiandaa kwa mechi yao ya kwanza ya kufuzu kwa Euro 2024 dhidi ya Uingereza na Malta, na Federico Dimarco huenda asijiunge nao baada ya kulazimishwa kuondoka akiwa ameumia Inter …
Pengo la Inter kwa Napoli Linafedhehesha
Naibu mhariri wa La Gazzetta dello Sport Andrea Di Caro alikuwa na maneno makali kwa Simone Inzaghi na Inter baada ya kushindwa kwao Derby d’Italia dhidi ya Juventus, na kuiita …

