Conte Atema Nyongo Spurs
Kocha wa klabu ya Tottenham Hotspurs raia wa kimataifa wa Italia Antonio Conte ameamua kutema nyongo baada ya klabu ya Tottenham kutoka sare ya mabao matatu kwa matatu dhidi ya …
Ronaldo Aliipatia Ari Al Nassr Baada ya Kufunga Bao la Kusawazisha
Al Nassr walitiwa moyo na mkwaju mzuri wa faulo wa Cristiano Ronaldo walipopambana na kuwashinda Abha kwa mabao 2-1. Ronaldo alifunga mkwaju wa faulo kutoka umbali wa yadi 30 …
Arsenal Yaonyesha Nia ya Kumsajili Moussa Diaby
Vinara wa Ligi kuu ya Uingereza Arsenal kwa mara nyingine wameonyesha nia yao ya kutaka kumsajili winga wa Bayer Leverkusen Moussa Diaby lakini itabidi washindane na Newcastle kuwania saini yake. …
Ibrahimovic ‘Anajivunia’ Kuwa Mfungaji Bora Mwenye Umri Mkubwa Zaidi wa Serie A
Zlatan Ibrahimovic “amejivunia” kuwa mfungaji bora wa Serie A mwenye umri mkubwa, lakini haikuwa faraja baada ya Milan kuchapwa 3-1 na Udinese. Akiwa na umri wa miaka 41 na …
Ten Hag Amefichua Kuwa Eriksen Atarejea Uwanjani Mwezi Ujao
Kocha mkuu wa Manchester United, Erick Ten Hag amesema kuwa Christian Eriksen anatarajiwa kurejea kutoka kwa jeraha la muda mrefu la kifundo cha mguu mwezi ujao. Eriksen alipata jeraha …
Simba Yatikisa Dar es salaam, Yatinga Robo Fainali Kibabe
Klabu ya Simba SC imetinga hatua ya robo fainali kibabe sana baada ya kuitwanga Horoya kwa mabao 7-0 na kuweka historia ya kuwa timu mojawapo ambayo imetoa kipondo kikali kwenye …
Chelsea Yaanza Kumuulizia Kipa wa Inter Onana
Chelsea wameripotiwa kuwasiliana na Inter ili kuuliza uwezekano wa kumnunua mlinda mlango Andre Onana kabla ya dirisha la usajili la majira ya kiangazi. Mlinda Mlango huyo wa Cameroon mwenye …
Aston Villa Wanamzingatia Sana Abraham Baada ya Roma Kuweka Bei
Tammy Abraham ameshindwa kuonyesha ubora wake kwa Roma msimu huu baada ya kuanza vyema nchini Italia na Aston Villa wana nia ya dhati ya kumrejesha Muingereza huyo kwenye Ligi Kuu …
Kocha wa Croatia Dalic Aongeza Mkataba Hadi Kombe la Dunia la 2026
Zlatko Dalic amezawadiwa kwa kumaliza katika nafasi ya tatu kwa Croatia katika Kombe la Dunia la 2022 kwa kandarasi mpya ambayo itaendelea hadi toleo la 2026. Hapo awali aliteuliwa …
Spalletti: Anaiona Napoli Ikiendelea Kutisha kwa Miaka Mingi
Kocha wa klabu ya Napoli Luciano Spaletti haamini kama klabu yake imekua na msimu bora ambao utaisha mwaka huu kwani yeye anaiona timu hiyo ikiendelea kufanya vizuri kwa miaka mingine …

