Mesut Ozil Atangaza Kustaafu Soka
Daily News

Kiungo wa zamani wa vilabu vya Schalke 04, Weder Bremen, Real Madrid, na Arsenal Mesut Ozil ametangaza kustaafu soka la ushindani mapema leo baada ya kutumikia soka kwa kipindi kirefu …

Soma zaidi
Ederson: Ana Imani Ancelotti Ataifundisha Brazil
Daily News

Golikipa wa klabu ya Manchester City Ederson Moraes ameonesha ana imani kubwa kua kocha wa klabu ya Real Madrid Carlo Ancelotti atakinoa kikosi cha timu ya taifa ya Brazil siku …

Soma zaidi
TFF Yazipia Saluti Simba na Yanga Kimataifa
SOKA LA BONGO

Katibu Mkuu wa Shirikisho la Soka Tanzania TFF Wilfried Kidao amezipongeza vilabu vya Simba SC na Yanga SC baada ya kufuzu hatua ya Robo Fainali michuano ya CAF akisema hiyo …

Soma zaidi
Ibrahimovic Alihitaji Operesheni Tatu ili Aendelee Kucheza Mpira
Daily News

Mshambuliaji wa klabu ya Ac Milan Zlatan Ibrahimovic amesema alihitaji kufanyiwa operesheni tatu za goti msimu uliomalizika ili kuweza kuokoa maisha yake ya soka na mpaka sasa anaendelea kucheza soka. …

Soma zaidi
Rooney Kuifundisha MLS All-Star
Daily News

Gwiji wa zamani wa klabu ya Manchester United Wayne Rooney anatarajwa kuifundisha timu ya mastaa wanaocheza ligi kuu nchini Marekani katika mchezo dhidi ya klabu ya Arsenal unaotarajiwa kupigwa mwezi …

Soma zaidi
Tchouameni Hajakata Tamaa
La Liga

Kiungo wa klabu ya Real Madrid na timu ya taifa ya Ufaransa Aurelien Tchouameni amekua akipitia kipindi kigumu kwenye klabu ya Real Madrid lakini inaelezwa hajakata tamaa na ataendelea kupambana …

Soma zaidi
Alonso Kwenye Rada za Real Madrid
La Liga

Kocha wa klabu ya Bayern Leverkusen Xabi Alonso ameingia kwenye rada za klabu ya Real Madrid na kutajwa kama mrithi wa kocha wasasa wa klabu hiyo kocha Carlo Ancelotti ambaye …

Soma zaidi
Sampaoli Akalia Kuti Kavu Sevilla
La Liga

Aliyekua kocha wa klabu ya Sevilla George Sampaoli ametimuliwa ndani ya klabu hiyo baada ya mabosi wa klabu hiyo kutoridhishwa na mwenendo wa kocha huyo ndani ya timu hiyo. Kocha …

Soma zaidi
Mbappe Nahodha Mpya wa Ufaransa
Daily News

Kylian Mbappe atakuwa nahodha mpya wa Ufaransa baada ya kupata bao kutoka kwa Didier Deschamps.   Mshambuliaji huyo wa Paris Saint-Germain alikuwa mgombea bora kuchukua nafasi ya Hugo Lloris, ambaye …

Soma zaidi
Sevilla Yamtimua Sampaoli Baada ya Kuhudumu kwa Miezi 5 Pekee
La Liga

Jorge Sampaoli ametimuliwa Sevilla baada ya mwenendo mbaya wa kiwango chake na kuwaacha pointi mbili tu juu ya eneo la kushushwa daraja kwenye LaLiga.   Kichapo cha mabao 2-0 kutoka …

Soma zaidi
1 2 3 555 556 557 558 559 560 561 2,272 2,273 2,274
Meridianbet
Privacy Overview

This website uses cookies so that we can provide you with the best user experience possible. Cookie information is stored in your browser and performs functions such as recognising you when you return to our website and helping our team to understand which sections of the website you find most interesting and useful.