Turner Anaamini Balogun Atakuwa ‘nyongeza nzuri’ Ndani ya USMNT
Daily News

Folarin Balogun angekuwa “nyongeza kubwa” kwa timu ya Marekani, lakini Matt Turner wa Arsenal anataka tu mshambuliaji huyo afanye mabadiliko ikiwa yanatoka moyoni.   Mshambuliaji wa Arsenal Balogun amefanya vyema …

Soma zaidi
Ronaldo Adai kuwa Ligi ya Saudia Inaweza kuwa Mojawapo ya Ligi Bora Zaidi Duniani
Daily News

Cristiano Ronaldo ana imani kuwa Ligi ya Saudia Pro League inaweza kuwa mojawapo ya mashindano bora zaidi duniani katika miaka ijayo.   Nahodha huyo wa Ureno alijiunga na Al Nassr …

Soma zaidi
Simba SC Watoa Wanne Timu ya Wiki CAF
SOKA LA BONGO

Klabu ya Simba imeendelea kuonesha ukubwa wake na aina ya wachezaji ilionao, kwa kuingiza mara mbili wachezaji wanne kwenye kikosi cha wiki cha michuano ya klabu bingwa Afrika CAFCL. Odds …

Soma zaidi
Southgate: Kukatishwa Tamaa kwa Kane Kwenye Kombe la Dunia Kupo Nyuma Yake
Daily News

Kocha mkuu wa Uingereza Gareth Southgate anaamini kuwa Harry Kane masikitiko yake ya Kombe la Dunia yapo nyuma yake.   Nahodha huyo wa Three Lions alikosa mkwaju wa penalti katika …

Soma zaidi
Nacho: Hakuna Sehemu Nzuri Zaidi ya Real Madrid
La Liga

Beki wa klabu ya Real Madrid raia wa kimataifa wa Hispania Nacho Fernandez ameweka wazi hana shaka juu ya mkataba wake ndani ya klabu hiyo na kusema haoni sehemu bora …

Soma zaidi
Simba Queens Yatoka Sare na Yanga Queens
SOKA LA BONGO

Vinara wa ligi kuu ya wanawake Tanzania klabu ya Simba Queens imetoka sare na klabu ya soka ya wanawake ya Yanga Queens kwa mabao moja kwa moja katika mchezo uliopigwa …

Soma zaidi
Chama Ashinda Goli Bora la Wiki CAF
SOKA LA BONGO

Kiungo wa klabu ya Simba Clatous Chota Chama amefanikiwa kushinda kinyang’anyiro cha goli bora la wiki katika michuano ya ligi ya mabingwa Afrika katika mzunguko wa tano wa michuano hiyo. …

Soma zaidi
Weghorst Amshukuru Ten Hag
Daily News

Mshambuliaji wa klabu ya Manchester United Wout Weghorst amemshukuru kocha wa klabu ya hiyo Erik Ten Hag baada ya kupata nafasi mara kwa mara kwenye kikosi cha Manchester United tangu …

Soma zaidi
Scaloni: Messi Mwenyewe ndo Ataamua Hatma Yake Argentina
Daily News

Kocha wa timu ya taifa ya Argentina Lionel Scaloni amesema kua nahodha wa timu hiyo Lionel Messi ndio ataamua hatma yake ndani ya timu hiyo kama anaendelea kuichezea timu hiyo …

Soma zaidi
Rabiot Hajajua Hatma Yake Juventus
Serie A

Kiungo wa kimataifa wa Ufaransa Adrien Rabiot mpaka sasa hajajua hatma yake ndani ya klabu ya Juventus kwani mkataba wa kiungo huyo unamalizika mwisho wa msimu huu. Rabiot ambaye alikua …

Soma zaidi
1 2 3 554 555 556 557 558 559 560 2,272 2,273 2,274
Meridianbet
Privacy Overview

This website uses cookies so that we can provide you with the best user experience possible. Cookie information is stored in your browser and performs functions such as recognising you when you return to our website and helping our team to understand which sections of the website you find most interesting and useful.