Manchester United Ilimtaka Amrabat
Klabu ya Manchester United ilimuhitaji kiungo wa kimataifa wa Morocco na klabu ya Fiorentina Sofyan Amrabat katika dirisha dogo la usajili mwezi Januari hii imevuja kutoka kwa kaka wa kiungo …
Casemiro Aanza na Kipigo
Nahodha mpya wa timu ya taifa ya Brazil Carlos Casemiro ameanza kwa kipigo majukumu yake hayo mapya kwenye timu hiyo baada ya kupokea kipigo cha mabao mawili kwa moja dhidi …
Courtois Kuikosa Mechi ya Kirafiki Dhidi ya Ujerumani Kutokana na Jeraha
Thibaut Courtois ataukosa mchezo wa kirafiki wa Ubelgiji dhidi ya Ujerumani siku ya Jumanne kutokana na jeraha la kidonda. Kipa huyo wa Real Madrid amejiondoa kwenye kikosi Ubelgiji siku …
Kante Kurejea Uwanjani Wiki Hii
Kiungo wa klabu ya Chelsea na timu ya taifa ya Ufaransa Ngolo Kante ambaye amekaa nje ya uwanja kwa muda mrefu atarejea uwanjani mapema wiki hii katika mchezo wa kirafiki …
Laporta: Milango iko Wazi Messi Kurejea
Rais wa klabu ya Fc Barcelona Joan Laporta amesema milango iko wazi kwa Lionel Messi kurejea ndani ya klabu hiyo huku akiahidi kuboresha mahusiano baina ya mchezaji huyo na klabu …
Kapombe na Mohamed Hussein Waongezwa Timu ya Taifa
Baada ya timu ya Tanzania Taifa Stars kurejea nchini, wakitokea Uganda walipokuwa wakicheza mchezo wa kuwania kufuzu michuano ya Afcon, Kocha mkuu wa Taifa Stars Adel Amrouche amewaita Kapombe na …
Balogun Lazima Awe na Subira ya Kuitwa Timu ya Taifa ya Uingereza
Gareth Southgate amemtaka Folarin Balogun kuwa mvumilivu kwa ajili ya kuitwa timu ya Taifa ya Uingereza. Mshambuliaji huyo mwenye umri wa miaka 21 amefanya vyema kwa mkopo na Reims …
United Inamtazama Mchezaji Mdogo wa Ireland na Brighton Ferguson
Inaripotiwa kuwa klabu ya Manchester United, inavutiw ana mshambuliaji wa Jamhuri ya Ireland na Brighton Evan Ferguson kwaajili ya msimu ujao. Ferguson alifunga bao lake la kwanza la kimataifa …
Kituo cha Mazoezi cha Argentina Chapewa Jina la Messi
Timu ya taifa ya Argentina imemtukuza Lionel Messi kwa magwiji wa Kombe la Dunia kwa kukipa kituo chao cha mazoezi kwa jina la nahodha wao mahiri. Casa de Ezeiza, …
Joselu Acheza Mechi ya Kwanza ya Uhispania Jana
Joselu alikuwa katika ndoto baada ya kufunga mabao mawili kwenye mechi yake ya kwanza ya Uhispania na kusaidia La Roja kuishinda Norway 3-0 huko Malaga jana. Kocha mkuu mpya …

