Benavidez Analenga Pambano la Canelo Baada ya Kumshinda Plant
Saul ‘Canelo’ Alvarez alikuwa karibu na David Benavidez baada ya ushindi wake wa upande mmoja dhidi ya Caleb Plant siku ya jana. Benavidez alidai ushindi wa uamuzi wa pamoja …
Foden Aondolewa Kwenye Kikosi cha Uingereza Baada ya Upasuaji
Mshambuliaji wa Manchester City, Phil Foden amefanyiwa upasuaji kuondoa kidole tumbo hivyo hakucheza mechi ya Ukraine na pia ataikosa Liverpool Jumamosi. Uingereza ilithibitisha habari hiyo hapo jana, na kumfanya …
Fernandes Hakubaliani na Ronaldo Kuhusu ‘hewa safi’ ya Ureno
Bruno Fernandes haamini Ureno ilihitaji “pumzi ya hewa safi” ambayo Cristiano Ronaldo alikuwa anatazamia chini ya Roberto Martinez. Martinez amechukua mikoba ya Ureno kwa mara ya kwanza katika mapumziko …
Martinez Azungumzia Uzoefu na Umuhimu wa Ronaldo
Roberto Martinez ameusifu uzoefu wa Cristiano Ronaldo kwani mchezaji huyo mwenye umri wa miaka 38 alifunga mara mbili katika ushindi wa 6-0 wa Ureno dhidi ya Luxembourg jana. Ronaldo …
Antonio Conte Aondoka Spurs kwa Maridhiano ya Pande Zote Mbili
Antonio Conte ameondoka Tottenham kwa ridhaa ya pande zote kufuatia mlipuko wake mkali dhidi ya wachezaji “wabinafsi” wa klabu hiyo. Spurs wamethibitisha kuwa Cristian Stellini atachukua usukani kwa msimu …
Levy Atoa Wito wa Umoja Baada ya Kuachana na Conte
Mwenyekiti wa Tottenham Daniel Levy ametoa wito kwa kila mtu anayehusishwa na klabu hiyo kuungana kwa muda uliosalia wa msimu huu baada ya kuachana na kocha mkuu Antonio Conte. …
Saka Awasha Moto Uingereza ikiibamiza Ukraine
Kiungo wa klabu ya Arsenal Bukayo Saka ameendelea kuwasha moto akiwa na timu ya taifa ya Uingereza kwenye michuano ya kufuzu michuano ya Euro mwaka 2024 baada ya kufunga bao …
Messi Apewa Heshima Tena Kwao
Nahodha wa timu ya taifa ya Argentina Lionel Messi amepata heshima nyingine tena nchini kwao baada ya chama cha soka nchini humo kurasimisha kituo cha mazoezi nchini humo kuitwa jina …
Telles Kurejea United
Beki wa kimataifa wa Brazil anayekipiga klabu ya Sevilla ya nchini Hispania kwa mkopo akitokea klabu ya Manchester United Alex Telles inaelezwa atarejea ndani ya Man United mwishoni mwa msimu …
Southgate Achukizwa na Rashford
Kocha wa timu ya taifa ya Uingereza Gareth Southgate ameonesha kuchukizwa na kitendo cha mshambuliaji wa klabu ya Manchester United Marcus Rashford baada ya kujiondoa kwenye timu hiyo. Kauli ya …

