Napoli vs Ac Milan Vita ya Ndugu
Champions League

Klabu ya Napoli na Ac Milan watakutana katika hatua ya robo fainali ya ligi ya mabingwa ulaya baada ya droo kuchezeshwa leo na kuwakutanisha miamba hiyo kutoka nchini Italia katika …

Soma zaidi
Frenkie de Jong Aendelea Kusisitiza Bado yupo sana Barca
La Liga

Kiungo wa klabu ya Fc Barcelona na timu ya taifa ya Uholanzi Frenkie de Jong ameendelea kusisitiza kua mipango yake ni kubaki ndani ya klabu ya Barcelona kwa muda mrefu …

Soma zaidi
Nagelsmann: Itakua Ngumu Kumzuia Haaland Kuliko Mbappe
Champions League

Kocha wa klabu ya Bayern Munich Julian Nagelsman amesema kua kumzuia mshambuliaji wa klabu ya Manchester City Earling Haaland katika mchezo wao wa robo fainali itakua ngumu kuliko ilivyokua kwa …

Soma zaidi
Manchester United Yawapa Kichaa Waarabu
Daily News

Klabu ya Manchester United inaonekana kuwapa kichaa waarabu wa Qatar kwani taarifa zinaeleza kua Sheikh Jassim Bin Hamad Emir El Thani anataka kulipa zaidi ili aweze kuinunua klabu hiyo. Sheikh …

Soma zaidi
Crystal Palace Yamtimua Patrick Vieira
Daily News

Klabu ya Crystal Palace imethibitisha kuwa wamemfuta kazi kocha wao mkuu Patrick Vieira baada ya kuifundisha kwa miezi 18. Odds kubwa za soka unazipata Meridianbet Kasino ya mtandaoni, sloti, Poker, …

Soma zaidi
Sakho Aitwa Senegal kwa Mara ya Kwanza
SOKA LA BONGO

Mshambuliaji wa klabu ya Simba Pape Ousmane Sakho ameitwa kwenye kikosi cha Senegel chini ya kocha Alliou Cisse ambacho kitacheza michezo miwili ya kufuzu michuano ya kombe la mataifa ya …

Soma zaidi
Droo ya Ligi ya Mabingwa Ulaya Kuchezeshwa Leo
Champions League

Droo ya ligi ya mabingwa ulaya kuchezeshwa leo kwa timu ambazo zimefanikiwa kufuzu hatua ya robo fainali ya michuano hiyo ambazo ni Real Madrid, Manchester City, Bayern Munich, Chelsea, Napoli, …

Soma zaidi
Odegaard Ameitaka Arsenal Kurejea Wakiwa na Nguvu Zaidi Baada ya Kuondoka kwenye Ligi ya Europa
Europa League

Martin Odegaard ameitaka Arsenal kurejea kwa nguvu zaidi baada ya kuondolewa kwenye Ligi ya Europa mikononi mwa Sporting CP.   Mkwaju wa penalti alioukosa Gabriel Martinelli katika mikwaju hiyo ulipelekea …

Soma zaidi
Burna Boy Kutumbuiza Fainali za UEFA 2022/23 Instanbul
Daily News

Burna Boy baada ya kufanya shoo kali kwenye dakika za mapumziko za NBA All-Star 2023 sasa kutumbuiza kwenye UCL. Pata Odds za soka ukiwa na Meridianbet na kasino ya mtandaoni. …

Soma zaidi
Ten Hag Aipongeza United kwa Kazi Nzuri Ambayo Wameifanya Jana
Europa League

Kocha mkuu wa Manchester United, Erik ten Hag ameusifu uimara wa kikosi cha United baada ya kushinda 1-0 ugenini dhidi ya Real Betis na akatania kwamba alifurahi kwamba hakuna mchezaji …

Soma zaidi
1 2 3 560 561 562 563 564 565 566 2,272 2,273 2,274
Meridianbet
Privacy Overview

This website uses cookies so that we can provide you with the best user experience possible. Cookie information is stored in your browser and performs functions such as recognising you when you return to our website and helping our team to understand which sections of the website you find most interesting and useful.