Martin Odegaard vs De Bryune Nani Bora?
Martine Odegaard na Kelvin De Bryune ni viungo hatari ambao kila mmoja ana mchango kwenye timu yake, rekodi zimabeba kila mmoja lakini kwa msimu huu pekee hizi ndio rekodi zao. …
Rekodi za Liverpool vs Real Madrid H2H | Madrid Anaongoza
Ukisema Liverpool ni vibonde wa Real Madrid utakua uko sahihi, kutokana na sababu halisi za kitwakwimu kwani baada ya mchezo wa jana wa Ligi ya Mabingwa Ulaya (UCL) kumalizika kwa …
Ancelotti: Kroos na Modric Hawachezi kwasababu ya Majina bali ni Uwezo
Kocha wa klabu ya Real Madrid Carlo Ancelotti amesema kua viungo wake wawili wakongwe Luca Modric na Toni Kroos hawachezi ndani ya klabu hiyo kwasababu ya majina yao lakini inatokana …
Spalletti Adai Kuwa Ubora wa Napoli wa 2023 ni Zaidi ya Ule wa Maradona
Luciano Spalletti anaamini kuwa timu ya sasa ya Napoli ni ya kiwango kikubwa cha pamoja kuliko timu za Partenopei ambazo Diego Maradona aliongoza kutwaa mataji mawili ya Serie A. …
Allegri: “Di Maria na Chiesa Hatiani Kuikiosa Freiburg”
Kocha mkuu wa Juventus, Massimiliano Allegri amesema kuwa Angel Di Maria na Federico Chiesa wamesalia kwenye kinyang’anyiro cha kucheza mechi ya mkondo wa pili wa hatua ya 16 bora ya …
Osimhen Anaamini Ndoto ya Napoli ni Ligi ya Mabingwa
Victor Osimhen anaamini kuwa Napoli wako wa kutosha kushinda Ligi ya Mabingwa baada ya kufika robo fainali ya michuano hiyo kwa mara ya kwanza kwa ushindi mnono dhidi ya Eintracht …
Ancelotti Amwita Vinicius Kuwa ni Mchezaji Bora Zaidi Duniani
Kocha mkuu wa Real Madrid Carlo Ancelotti amedai Vinicius Junior ndiye mchezaji bora zaidi duniani baada ya kuisaidia Los Blancos kutinga robo fainali ya Ligi ya Mabingwa Ulaya katika ushindi …
Carragher Aiambia Liverpool Wasajili Beki Mwingine wa Kulia
Jamie Carragher ameitaka timu yake ya zamani ya Liverpool kusajili beki mwingine wa kulia baada ya Trent Alexander-Arnold kuwa na kiwango kisichoridhisha huku akiitumikia klabu hiyo kwa muda sasa. …
Conte Kurejea Inter Milan
Taarifa zinaeleza kua kocha wa klabu ya Tottenham Hotspurs raia wa kimataifa wa Italia Antonio Conte anajipanga kurejea ndani ya klabu ya Inter Milan ambapo aliondoka kabla ya kujiunga na …
Lukaku anatarajiwa Kurejea Chelsea
Mshambuliaji wa klabu ya Chelsea anayekipiga kwa mkpo klabu ya Inter Milan Romelu Lukaku anatarajiwa kurejea ndani ya klabu hiyo mwishoni mwa msimu huu baada ya mkataba wake wa mkpo …

