Inzaghi Apongeza Umoja wa Timu Yake
Champions League

Kocha wa klabu ya Inter Milan Simeone Inzaghi amepomgeza umoja wa timu yake baada ya kupata matokeo ya ushindi dhidi ya klabu ya Fc Porto katika mchezo wa hatua ya …

Soma zaidi
Tottenham Wapanga Kumpa Mkataba Mpya Kane
Daily News

Klabu ya Tottenham Hotspurs imepanga kumpa mkataba mpya mshambuliaji wake nahodha wa timu ya taifa ya Uingereza Harry Kane wakati huu mkataba mpya wa mshambuliaji ukielekea ukingoni. Klabu ya Tottenham …

Soma zaidi
Chama Mchezaji Bora wa Wiki Caf
SOKA LA BONGO

Kiungo wa klabu ya Simba Clatous Chama amefanikiwa kuchaguliwa kua mchezaji bora wa wiki wa michuano ya ligi ya mabingwa Afrika baada ya raundi ya nne ya michuano hiyo kumalizika. …

Soma zaidi
Kvaratskhelia ni George Best Mpya
Serie A

Gwiji wa zamani wa soka la Italia Christian Vieri amesema kua nyota wa klabu ya Napoli na timu ya taifa ya Georgia Khvicha Kvaratskhelia anafanana kiuchezaji na gwiji wa zamani …

Soma zaidi
Haaland: Nilitaka Kufunga Zaidi
Champions League

Mshambuliaji wa klabu ya Manchester City Earling Haaland amesema alitaka kufunga mabao zaidi ya matano katika mchezo wa jana dhidi ya klabu ya Rb Leipzig lakini hakua na namna zaidi …

Soma zaidi
Guardiola Aivulia Kofia Napoli
Champions League

Kocha wa klabu ya Manchester City Pep Guardiola ameonekana kuikubali klabu ya Napoli na kusema ni klabu bora kwasasa barani ulaya kutokana na aina yao ya uchezaji, Ikiwa inakaribiana na …

Soma zaidi
Liverpool Kurudia ya Barcelona kwa Madrid Leo?
Champions League

Klabu ya Liverpool itashuka dimbani leo kumenyana na klabu ya Real Madrid katika mchezo wa ligi ya mabingwa barani ulaya hatua ya 16 bora ili kuhakikisha wanaweza kupindua matokeo baada …

Soma zaidi
Haaland Apiga Tano Akivunja Rekodi ya Messi
Champions League

Mshambuliaji wa klabu ya Manchester City Earling Haaland amefanikiwa kufunga mabao matano katika mchezo wa ligi ya Mabingwa ulaya usiku wa jana dhidi ya Rb Leipzig na kufanikiwa kufikia rekodi …

Soma zaidi
Erling Haaland Ampiku Messi| Aweka Rekodi UCL
Daily News

Erling Halaand anzidi kuweka rekodi tu barani Ulaya, baada ya jana kuwafunga RB Leipzig peke yake mabao 5 ndani ya dakika 60 zilitosha kijana huyo wa Pep Guardiola kuandika rekodi …

Soma zaidi
De Bruyne Haoni Shida Kuhusu Onyesho la Haaland Ndani ya Man City
Daily News

Kevin de Bruyne alipuuza pendekezo lolote la masuala ndani ya timu na kushuka kwa kiwango kwa mshambuliaji nyota wa Manchester City Erling Haaland.   Haaland amekuwa katika hali ya kuvutia …

Soma zaidi
1 2 3 564 565 566 567 568 569 570 2,272 2,273 2,274
Meridianbet
Privacy Overview

This website uses cookies so that we can provide you with the best user experience possible. Cookie information is stored in your browser and performs functions such as recognising you when you return to our website and helping our team to understand which sections of the website you find most interesting and useful.