Kivuli Cha Conte Kinatanda Juu ya Inzaghi
Ripoti zinaonyesha kuwa mustakabali wa Simone Inzaghi katika klabu ya Inter unaning’inia kwenye mtandao na klabu tayari imewasiliana na Antonio Conte wanapoanza kujipanga mapema. Nerazzurri walipata kipigo kichungu cha …
Ten Hag Awataka Man Utd Kuonyesha Uthabiti Dhidi ya Southampton
Kocha wa Manchester United Erik Ten Hag amesema kuwa lazima timu yake iendelee kuonyesha uthabiti wao msimu unapoelekea tamati. Kipigo cha 7-0 kutoka kwa Liverpool Jumapili iliyopita kilivutia ukosoaji …
Boehly Ana Nia ya Kumleta De Jong Chelsea
Mmiliki wa Chelsea Todd Boehly ana hamu ya kumsajili kiungo wa Barcelona Frenkie de Jong msimu huu wa joto. Mfanyabiashara Mmarekani Boehly mwenye miaka 49, tayari ametumia zaidi ya …
Dodoma Jiji Kutimua Vumbi Dhidi ya Polisi Tanzania
Mechi ya mwisho ya leo ya NBC ni kati ya Dodoma Jiji dhidi ya Polisi Tanzania huku timu zote zikihitaji pointi tatu kutokana na nafasi waliyopo kwenye mismamo wa ligi. …
Coastal Union Anamkaribisha Singida Big Stars
Mchezo mwingine wa Ligi kuu ya NBC ni huu hapa ambao utawakutanisha Coastal Union dhidi ya Singida Big Stars ambayo inafanya vizuri kwenye msimamo wa ligi. Singida Big Stars …
Yanga Kukipiga Dhidi ya Geita Gold
Klabu ya Yanga inatarajiwa kushuka dimbani hii leo kusaka pointi tatu dhidi ya Geita Gold ya Geita ambayo ipo nafasi ya tano kwenye msimamo wa ligi. Mchezo huo atapigwa …
Namungo Apasuka Nyumbani Kwake
Klabu ya Namungo FC imepoteza mchezo wake hapo jana wlaiokuwa wakicheza dhidi ya Tanzania Prisons kwenye mchezo wa ligi kuu ya Tanzania Bara katika dimba la Majaliwa majira ya saa …
Vinicius: “Siwahukumu Wachezaji, Nawahukumu Waamuzi”
Mshambuliaji wa Real Madrid, Vinicius Junior amewakosoa waamuzi wa LaLiga kwa kushindwa kutoa kadi kwa wapinzani wanaomchezea vibaya mara kwa mara. Vinicius alilengwa na Madrid katika ushindi wa 3-1 …
Galtier Amesema Kuwa PSG Haina Matatizo ya Umoja
Kocha wa Paris Saint-Germain Christophe Galtier hana wasiwasi wowote kuhusu ukosefu wa umoja katika klabu hiyo baada ya kuondolewa kwa Ligi ya Mabingwa. PSG walirejea katika njia ya ushindi …
Belotti Afanyiwa Upasuaji wa Mkono
Klabu ya Roma imethibitisha kuwa, Andrea Belotti amelazimika kuwa nje ya uwanja baada ya kufanyiwa upasuaji kwenye mkono wake wa kulia. Mshambuliaji Giallorossi mwenye umri wa miaka 29 ametatizika …

