Kane Awaka Spurs Ikiua
Football

Mshambuliaji wa klabu ya Tottenham Hotspurs Harry Kane ametakata katika mchezo wa ligi kuu ya Uingereza dhidi ya Nottingham Forest huku klabu yake ikipata alama tatu muhimu wakiwa katika dimba …

Soma zaidi
Chelsea Gari Limewaka
Daily News

Klabu ya Chelsea sasa ni kama gari limewaka baada ya kupata alama tatu muhimu katika mchezo wa leo dhidi ya klabu ya Leicester City katika dimba la Kingpower kwa jumla …

Soma zaidi
Pogba Kurejea Jumapili Baada ya Adhabu
Serie A

Kiungo wa klabu ya Juventus Paul Pogba yuko tayari kurejea ndani ya klabu hiyo siku ya jumapili kuitumikia klabu hiyo katika mchezo dhidi ya Sampdoria baada ya adhabu yake kumalizika. …

Soma zaidi
Mamelodi Sundowns Yatinga Robo Fainali kwa Kishindo
Daily News

Klabu ya Mamelodi Sundowns kutoka nchini Afrika ya Kusini wamefanikiwa kutinga hatua ya robo fainali ya ligi ya mabingwa Afrika kwa kishindo kikubwa baada ya kuifunga klabu ya Al-Ahly mabao …

Soma zaidi
Real Madrid Yaipasua Espanyol
La Liga

Klabu ya Real Madrid imepata matokeo ya ushindi mapema leo katika mchezo wa ligi kuu nchini Hispania wa mabao matatu kwa moja baada ya kutoka kusuluhu dhidi ya Real Betis …

Soma zaidi
Simba Yaua Morogoro, Baleke Atakata
SOKA LA BONGO

Klabu ya Simba imefanikiwa kupata ushindi mnono dhidi ya klabu ya Mtibwa Sugar katika mchezo wa ligi kuu ya NBC uliopigwa katika dimba la Manungu mkoani Morogoro. Simba walifanikiwa kupata …

Soma zaidi
Liverpool Yapigwa na Kitu Kizito
Daily News

Klabu ya Liverpool imekumbana na wakati mgumu baada ya kutoka kwenye wikiendi nzuri baada ya kuifunga klabu ya Manchester United kwa mabao 7-0  katika dimba la Anfield wikiendi iliyomalizika. Liverpool …

Soma zaidi
Mahakama Yaamua Mashabiki wa Frankfurt Wanaweza Kuhudhuria Pambano la Napoli UCL
Champions League

Mahakama ya Utawala ya Mkoa imekubali rufaa ya Eintracht Frankfurt na itawaruhusu mashabiki kununua tiketi kwa ajili ya mpambano ujao wa Ligi ya Mabingwa dhidi ya Napoli.   Jumanne ya …

Soma zaidi
Barcelona Inapanga Kumchukua Firmino
Daily News

Barcelona wanajiandaa kuwasajili wachezaji wawili wa Ligi kuu ya Uingereza ambao ni Roberto Firmino na Ilkay Gundogan.   Mshambuliaji wa kati wa Liverpool Firmino mwenye miaka 31, ataondoka Anfield msimu …

Soma zaidi
PSG Kuwasilisha Ombi la Kuununua Uwanja wa Stade de France
Ligue 1

Msemaji wa klabu ya Paris Saint-Germain amethibitisha kuwa timu hiyo itawasilisha ombi la kununua Uwanja wa Stade de France.   Mabingwa hao wa Ligue 1 walisema watachunguza chaguzi mbadala za …

Soma zaidi
1 2 3 568 569 570 571 572 573 574 2,272 2,273 2,274
Meridianbet
Privacy Overview

This website uses cookies so that we can provide you with the best user experience possible. Cookie information is stored in your browser and performs functions such as recognising you when you return to our website and helping our team to understand which sections of the website you find most interesting and useful.