Rashford Mchezaji Bora Mwezi Febuari Epl
Daily News

Mshambualiaji wa klabu ya Manchester United Marcus Rashford amechaguliwa kua mchezaji bora wa ligi kuu ya Uingereza kwa mwezi Febuari baada ya kutwaa tuzo ya klabu wiki moja iliyopita. Marcus …

Soma zaidi
Mourinho Akataa Kuridhika na Ushindi wa Jana Dhidi ya Sociedad
Europa League

Huenda Roma walishinda 2-0 dhidi ya Real Sociedad katika mchezo wao wa mkondo wa kwanza wa hatua ya 16 bora wa Ligi ya Europa lakini kocha mkuu Jose Mourinho alikataa …

Soma zaidi
De Jong Atangaza Kuwa Anataka Kuendelea Kuichezea Barcelona
La Liga

Frenkie de Jong ametangaza kuwa hana nia ya kuondoka Barcelona huku akihusishwa zaidi na Manchester United.   Kiungo huyo mwenye umri wa miaka 25 alihusishwa pakubwa na kuhamia Old Trafford …

Soma zaidi
Di Maria Afichua Mazungumzo ya Mkataba na Juventus
Europa League

Angel Di Maria amefichua kuwa yuko kwenye mazungumzo na Juventus kuhusu kandarasi mpya baada ya kufunga bao na kuwashinda Freiburg katika mchezo wa mkondo wa kwanza wa hatua ya 16 …

Soma zaidi
Sare ya 2-2 Yamkasirisha Arteta, Abainisha Udhaifu Wao
Daily News

Kocha wa Arsenal Mikel Arteta amekiri kuwa timu yake inahitaji kuimarika zaidi ikiwa wanataka kusonga mbele katika Ligi ya Europa baada ya sare ya 2-2 na Sporting Lisbon. Pata Odds …

Soma zaidi
Arteta Amesema Hajafurahishwa na Safu yake ya Ulinzi
Europa League

Mikel Arteta hakuficha kuchanganyikiwa kwake na uchezaji wa Arsenal katika sare ya 2-2 hapo jana dhidi ya Sporting CP, lakini uchezaji wa Fabio Vieira ulimpa matumaini kidogo.   The Gunners …

Soma zaidi
Mtibwa Sugar Wataweza Kuifunga Simba?
SOKA LA BONGO

Wakati Ligi kuu ya NBC ikiendelea kutimua vumbi kwenye viwanja mbalimbali, mechi inayosubiriwa ni Simba ambaye amewafuata Mtibwa Sugar kiwanda cha mpira wa miguu Tanzania. Odds kubwa za soka unazipata …

Soma zaidi
Mbeya City Kuwaalika Ruvu Shooting Leo
SOKA LA BONGO

Ligi kuu ya NBC inaendelea hii leo kwa mchezo mmoja ambapo Mbeya City watawaalika Ruvu Shooting katika dimba lao la Sokoine majira ya saa 10:00 jioni.   Mbeya City wapo …

Soma zaidi
Hatimaye Kafunga| Weghorst Alia Hadharani Manchester
Daily News

Hatimaye bhana mshambuliaji wa Manchester United Wout Weghorst alionekana kutokwa na machozi akishangilia bao lake la kwanza Old Trafford katika ushindi wao wa Ligi ya Europa dhidi ya Real Betis. …

Soma zaidi
Frenkie de Jong Asisitiza Anataka Kubaki Barcelona
La Liga

Kiungo wa klabu ya Barcelona na timu ya taifa ya Uholanzi Frenkie de Jong ameendelea kusisitiza mpango wake wa kuendelea kubaki ndani ya klabu hiyo kwa muda mrefu licha ya …

Soma zaidi
1 2 3 571 572 573 574 575 576 577 2,272 2,273 2,274
Meridianbet
Privacy Overview

This website uses cookies so that we can provide you with the best user experience possible. Cookie information is stored in your browser and performs functions such as recognising you when you return to our website and helping our team to understand which sections of the website you find most interesting and useful.