Rashford: Hatujakata Tamaa
Mshambuliaji wa klabu ya Manchester Marcus Rashford amesema kua hawajakata tamaa baada ya kupoteza mchezo wa ligi kuu ya Uingereza wikiendi iliyomalizika dhidi ya mahasimu wao klabu ya Liverpool. Marcus …
Achraf Hakimi Kucheza Leo Licha ya Tuhuma za Ubakaji
Beki wa Paris Saint-Germain Achraf Hakimi anatarajiwa kuichezea Bayern Munich leo kwenue usiku wa mabingwa licha ya kuchunguzwa kwa tuhuma za ubakaji. Odds kubwa za soka unazipata Meridianbet Kasino ya …
Ten Hag: Bruno Atabaki kua Nahodha
Kocha wa klabu ya Manchester United Erik Ten Hag amesema kua kiungo wa klabu hiyo raia wa kimataifa wa Ureno Bruno Fernandes ataendelea kusalia kama nahodha wa klabu hiyo licha …
Rashford: Napenda Kucheza na Bruno Fernandes
Mshambuliaji wa klabu ya Manchester United raia wa kimataifa wa Uingereza Marcus Rashford ameweka wazi na kusema kua anafurahishwa kucheza na kiungo wa klabu hiyo Bruno Fernandes. Marcus Rashford amesema …
Pioli Aionya Milan Kutokukaa Nyuma Dhidi ya Spurs
Kocha wa klabu ya soka ya Ac Milan Stefano Pioli amewaonya wachezaji wake kuelekea mchezo wa marudiano wa ligi ya mabingwa ulaya hatua ya 16 bora dhidi ya Tottenham na …
Henderson Awaonya Wenzake ndani ya Liverpool
Nahodha wa klabu ya Liverpool Jordan Henderson amewaonya wachezaji wenzaji wasijiamini kupitiliza baada ya kufanikiwa kuifunga klabu ya Manchester United kwa mabao 7-0 katika mchezo wa ligi ku ya Uingereza …
Laporte Kutimka Man City Mwisho wa Msimu
Beki wa klabu ya Manchester City Aymeric Laporte anatarajia kutimka ndani ya klabu hiyo mwishoni mwa msimu huu na vilabu mbalimbali vinatajwa kutaka saini ya mchezaji huyo wa kimataifa wa …
Osimhen: “Serie A ni ya Ajabu, Kvaratskhelia Anaweza Kushinda Ballon D’or”
Victor Osimhen anasisitiza kuwa angependa kucheza Ligi ya Uingereza siku moja lakini anaongeza kuwa maisha katika Serie A ni ‘maajabu’ na anaamini mchezaji mwenzake Kvicha Kvaratskhelia anaweza kushinda Ballon d’Or. …
Mason Mount Awindwa Zaidi na Newcastle
Newcastle wameingia kwenye harakati za kumnasa kiungo mshambuliaji wa Chelsea Mason Mount. Beti na Meridianbet mechi za ligi zote, odds ni kubwa sana, usikose pia Kasino ya mtandaoni ya Meridianbet …
Ancelotti Matatani Ndani ya Real Madrid
Kocha wa klabu ya Real Madrid Carlo Ancelotti yupo matatani ndani ya klabu hiyo kwasasa kutokana na matokeo ambayo sio mazuri ambayo klabu hiyo imekua ikiyapata siku za karibuni. Ancelotti …

