Richarlison Akasirishwa Kutokana na Kukosa mda wa Kucheza
Champions League

Mshambuliaji wa kimataifa wa Brazil anayekipiga klabu ya Tottenham Hotspurs Richarlison ametema nyongo baada ya klabu yake kutupwa nje ya michuano ya ulaya usiku wa jana na kulaumu kutokana na …

Soma zaidi
Muller: Nikikutana na Messi Kila Kitu Kinaenda Sawa
Champions League

Mshambuliaji wa klabu ya Fc Bayern Munich Thomas Muller anasema anapokutana na staa wa klabu ya PSG Lionel Messi kwenye mashindano kila kitu kinaenda sawa kwa maana ya kupata matokeoi …

Soma zaidi
Fernandez Anaamini Chelsea Iko Kwenye Njia Sahihi Chini ya Potter
Daily News

Enzo Fernandez anaamini kuwa Chelsea wako katika njia sahihi chini ya Graham Potter, baada ya kutinga robo fainali ya Ligi ya Mabingwa baada ya kuitoa Borussia Dortmund.   Mabao ya …

Soma zaidi
KMC Kukiwasha Dhidi ya Kagera Leo Hii
SOKA LA BONGO

Ligi kuu ya NBC kuendelea hii leo kwa mchezo mmoja ambapo KMC watawaalika Kagera Sugar majira ya saa 10:00 jioni kusaka pointi tatu.   KMC ambao wana hali mbaya kwenye …

Soma zaidi
Yanga Yalamba Milioni 10 za Mama Samia Jana
SOKA LA BONGO

Klabu ya Yanga imelamba tena Milioni 10 za mama Samia hapo jana baada ya kuikandamiza Real Bamako mabao 2-0 katika Dimba la Benjamin Mkapa.   Mabao hayo ya ushindi yalitupiwa …

Soma zaidi
Neville: Messi Kwenda Marekani Utakua Usajili wa Kihistoria
Ligue 1

Gwiji wa zamani wa klabu ya Manchester United, Everton na timu ya taifa ya Uingereza Phil Neville amesema nyota wa klabu ya PSG Lionel Messi akijiunga na ligi kuu ya …

Soma zaidi
Scott Parker Afukuzwa Tena
Champions League

Kocha wa kimataifa wa Uingereza na mchezaji wa zamani wa vilabu vya Chelsea,Fulham, na Tottenham Scott Parker amefukuzwa kazi tena akiwa kama kocha wa klabu ya Club Brugge. Kocha Scott …

Soma zaidi
Koulibaly Aitaka Napoli Fainali Uefa
Champions League

Beki wa zamani wa klabu ya Napoli anayekipiga ndani ya klabu ya Chelsea kwasasa Kalidou Koulibaly amesema anatamani kuiona fainali klabu ya Chelsea na klabu yake ya zamani ya Napoli …

Soma zaidi
Enzo Fernandez; Chelsea iko njia sahihi Chini ya Potter
Champions League

Kiungo wa kimataifa wa Argentina  anayekipiga katika klabu ya Chelsea ya nchini Uingereza Enzo Fernandez amesema anaiona klabu hiyo ipo njia sahihi chini ya kocha wasasa Graham Potter. Enzo Fernandez …

Soma zaidi
Gabriel Jesus Afanya Mazoezi na Wenzake
Daily News

Mshambuliaji wa klabu ya Arsenal raia wa kimataifa wa Brazil Gabriel Jesus ameanza kufanya mazoezi na wenzake kuelekea mchezo wa kombe la Europa dhidi ya klabu ya Sporting Lisbon ya …

Soma zaidi
1 2 3 573 574 575 576 577 578 579 2,272 2,273 2,274
Meridianbet
Privacy Overview

This website uses cookies so that we can provide you with the best user experience possible. Cookie information is stored in your browser and performs functions such as recognising you when you return to our website and helping our team to understand which sections of the website you find most interesting and useful.