Ancelotti Anukia Brazil
Kocha wa klabu ya Real Madrid Carlo Ancelotti inaripotiwa ananukia kunako timu ya taifa ya Brazil ambapo amekua akihusishwa kwa muda mrefu kuchukua kibarua cha timu hiyo. Ancelotti inatajwa yupo …
Henry PSG Watapitia Kipindi Kigumu Kumbakiza Mbappe
Mshambuliaji wa zamani wa vilabu vya Arsenal, Barcelona na timu ya taifa ya Ufaransa Thiery Henry amesema kua klabu ya PSG itapitia wakati mgumu sana kumbakiza Mbappe baada ya kutolewa …
Arteta: Akili Yangu Ipo Arsenal
Kocha wa klabu ya Arsenal Mikel Arteta amesema akili yake kwasasa ipo ndani ya klabu ya Arsenal ameyazungumza hayo baada ya kuulizwa kuhusu kujiunga na klabu ya Real Madrid. Kocha …
Manchester United Kujipata leo Kwa Betis?
Klabu ya Manchester United leo itashuka dimbani katika dimba la Old Trafford kuwakaribisha klabu ya Real Betis kutoka nchini Hispania katika mchezo wa kombe la Uefa Europa League. Maswali ni …
Conte Nitaamua Hatma Yangu Mwisho wa msimu
Kocha wa klabu ya Tottenham Hotspurs Antonio Conte amesema kua hatma yake na klabu hiyo itajulikana baada ya msimu huu kumalizika kwakua watakaa mezani na klabu hiyo. Antonio Conte amekua …
Tomori Ampa Ujumbe Southgate
Fikayo Tomori amechaguliwa kuwa Mchezaji Bora wa Mechi na UEFA kwa uchezaji wake katika uamuzi wa Ligi ya Mabingwa wa Milan dhidi ya Tottenham, na kutuma ujumbe wa wazi kwa …
Simba Yaifuata Mtibwa Sugar Manungu
Baada ya kuchukua alama tatu dhidi ya Vipers klabu ya Simba imeifuata Mtibwa Sugar mkoani Morogoro kwaajili ya mchezo wao wa ligi kuu ya NBC ambao unatarajiwa kupigwa siku ya …
Pogba Kuwakosa Freiburg Kisa Nidhamu
Kiungo wa klabu ya Juventus na klabu na timu ya taifa ya Ufaransa Paul Pogba inaelezwa ataukosa mchezo wa kombe la Europa League kwasasa zinazoelezwa kua ni matatizo ya kinidhamu. …
Vipers Yamtimua Kocha Wake
Klabu ya Vipers ya nchini Uganda imemtimua kocha wake Roberto Luiz Bianchi baada ya kuwa na mwendelezo mbaya wa matokeo kwenye michuano ya Klabu Bingwa Afrika. Roberto toka michuano …
Mbappe Ameangazia Ligue 1 Zaidi Baada ya Kuondolewa UCL
Kylian Mbappe amesisitiza kuondolewa kwa Paris Saint-Germain Ligi ya Mabingwa na Bayern Munich hakutaathiri mustakabali wake kwani mshambuliaji huyo anaangazia ubingwa wa Ligue 1. Mabao ya Eric Maxim Choupo-Moting …

