Mshambuliaji raia wa Tanzania Adi Yussuf amejiunga na klabu ya Wrexham AFC ya huko nchini Wales kwa mkopo wa msimu mzima kutokea klabu ya Blackpool ya nchini Uingereza.
Adi Yussuf mwenye umri wa miaka 28, amefunga magoli 21 katika michezo 54 aliocheza klabu ya Sohihull msimu wa mwaka 2018/2019.

Naimani nitafunga magoli na kujituma hapa, tutafanya makubwa mwaka huu” – Yussuf baada ha kusaini klabu yake mpya ya Wrexham AFC.
SHINDA NA HI LO
Sasa hii ni rahisi zaidi kupata USHINDI! Unatabiri karata ipi ipo chini au juu, kisha unakusanya mkwanja wako.


Hope mwaikuka
Nenda kapambane kijana
Faraja molell
Usikivu ndo jambo la muhimu
Sabrina
Watanzania sikuiz hawashikiki kwenye soka Hongera sana Adi Yusufu
rama
daaa kaza mzee watanzania tupo nyuma yako
Rose kapinga
Mmmh! Hayaaa!!!
Issa
Adi kijana hodari ila anapaswa pia apambane sana kwenye timu ya taifa ili tanzania ifike mbali kisoka
Shafii
Vipaji Tanzania vipo sasa tunakwama wapi kwenye soka letu.
Khadija
karibu Adi yussuf uonyeshe kipaji chako#meridianbettz
aisha
Naona tanzania sasa itafika mbali maana Adi yusufu sio mchezo
Samira
Hongera sana Adi
Amiri Kayera
Kila la kher
Edgar
Karibu sana
Theckla
Akaonyeshe juhudi zake sasa
Ester jackson
Pongezi kwa hatuwa uliyopiga sasa ni muda wako kuonyesha uwezo wako ili timu nyingine kubwa waweze kumezeee mate
Saupha mohamed
Hongera yake
Zeiyana
Ongera sana adi yusuphu juudi zako na uwezo uliokua dao hinatufanya watanzania wote tuamini ndoto zetu tunajivunia kuwa na wewe..!peperusha bendera ya Tanzania
Sauda
Nenda kapambane mpaka kieleweke
magdalena
safi sana watanzania tunazidi kuipeperusha bendera yetu kwa juhudi
Tatu
Vijana wa kitanzania tunazidi kupaa kwenye michezo ya kimataifa kijana kaza buti
felister
safi nenda kaipeperushe bendera
Dorophina
Kila lakheri kaiwakilishe nchi yako vizuri watu wajue kumbe Tanzania Kuna vipaji
Caroline
Mambo ya usajili
Aziza mushi
Hongera sana
Ernest
Sio mbaya zaidi anatakiwa akaze buti tuu
David Pere
Vipaji Tanzania vipo sasa tunakwama wapi kwenye soka letu.
Elika
Hongera sana kijana
Lydia Emmanuel Magoti
Ongera yake Sana kapambane mzee baba
Sadick
Tunahitaji akina Adi Yusuf wengi kutoka TZ ambapo manufaa watakakuwa wanapata yataongeza chachu ya vijana wetu kujituma zaidi na kujua mpira ni maisha#meridianbettz
Salma ngende
Kila la kheli
Povel
Nice update
Neema
Kapambaneee vyemaa kijana
Agness
Ajitahidi aogeze bidii zaidi
Furahav
Safi,endelea kupambana utafanikiwa.
Rehema
Kila la kheri
Nasra
Watanzania ote tuko nyuma yake tunamsaport.
Shani
Ni poa adi kupambana
Asia Abdy
Nice
Latifa juma mohamed
Hongera Sana Adi kapambane kijana.
Genia Sikaluzwe
Hongera sana
Gabriel
Ni habar njema sana kwa watanzania
Samiah
Gud
Mwanahamisi
Hongera sana
farida ahmadi
Pongezi Sana kwa kupeperusha bendera ya taifa
warda
Karibu Kwenye Mapambano