Barcelona Mbioni Kumalizana na Koeman.


Kocha wa timu ya taifa ya Uholanzi Ronald Koeman yupo mbioni kumalizana na Barcelona kwaajili ya kuchukua nafasi ya Quique Sietien aliyetimuliwa.

Mchezaji huyo wa zamani wa Barcelona aliyekuwa na ndoto za kufundisha miamba hiyo ya Catalan, ameonekana ni mtu muhimu kwa sasa kuchukua mikoba ya Sietien baada ya kuwa na msimu mbovu.

 

Barcelona Mbioni Kumalizana na Koeman.

Setiene, 61, alichukua mikoba ya Ernesto Valverde’s mwezi January lakini ameshindwa kuonyesha makali yake kwa kupoteza ubingwa wa La Liga kwa wapinzani wao Real Madrid na kuambulia kipigo cha aibu katika Ligi ya Mabingwa Ulaya dhidi ya Bavarians, Bayern Munichen cha mabao 8-2.

Kocha wa zamani wa Tottenham, Pochettino aliyekuwa bila kazi tangu mwezi November alikuwa anahusishwa pia kukinoa kikosi cha Barcelona.

Lakini Koeman alitajwa kuwa Kocha ambaye angeweza kuipitisha timu katika kipindi hichi cha mpito kabla kiungo wao wa zamani Xavi kuja kurithi mikoba hiyo.

 

Barcelona Mbioni Kumalizana na Koeman.

Koeman anakaribia kukubaliana na Barcelona kwa dili la mkataba wa miaka miwili kukinoa kikosi hicho.


Drops and Wins!

Umeijua hii? Ni promosheni kabambe ya ushindi kwenye Casino ya mtandaoni ya Meridianbet! Unaweza kushinda hadi Euro 2,000,000 leo.

Soma Zaidi

35 Komentara

    mambo ni moto na meridianbet

    Jibu

    Mko vizuri san meridianbet

    Jibu

    Ataiweza kweli Barcelona

    Jibu

    Koeman ni kocha mzuri na mzoefu kwenye mashindano mbali mbali itakua chachu kubwa ya mabadiliko ndani ya kikosi cha barca.

    Jibu

    habari njema kwa mashabiki wa barcelona

    Jibu

    Good

    Jibu

    Aje nae apigwe lungu 10 bila.

    Jibu

    Nampa Kocha Koeman benefit of doubt#meridianbettz

    Jibu

    Kila la kheri Kama watafanikiwah kumsain Kocha huyo

    Jibu

    Habari njema Sana

    Jibu

    Itakua poa tu kwa hilo

    Jibu

    Aje bhana huenda akapunguza maumivu ya kupigwa 8

    Jibu

    Inapendeza sana kama deal ikitiki

    Jibu

    Mmmmh! Tatizo Barcelona wazee wengi

    Jibu

    Koeman akienda barca atawez kuendana na falsafa ya catalunya kwakuwa koeman mfumo ni mpira mirefu

    Jibu

    Koeman n kocha mzur sana namkubal

    Jibu

    Itakua poa sana

    Jibu

    Kila lakheri Ronald usipokuwa vizuri na ww watakutimua tu

    Jibu

    Maoni:barcelona hadi benchi la ufundi kuna tatizo pale

    Jibu

    Mambo moto

    Jibu

    Lakini Koeman alitajwa kuwa Kocha ambaye angeweza kuipitisha timu katika kipindi hichi cha mpito kabla kiungo wao wa zamani Xavi kuja kurithi mikoba hiyo.

    Jibu

    Ni vizuri wangeimarisha na kikosi kwanza wachezaji wengi wazee Barcelona wasiangalie mastar tu wachezaji chipukizi wapo wengi tu jamani wenye uwezo mazuri

    Jibu

    Kila laheri kocha Koeman.

    Jibu

    Barca wanatapatapa sana ila kiukweli zama za Barca zimekwisha

    Jibu

    Barcelona fanyeni mpango huo mara moja iwezekanavyo

    Jibu

    Koeman ni kocha mzuri

    Jibu

    Walichokiondoa ni nn wanaingiza nn Barcelona wanatakiwa waandae vikosi vyao upya ndio watafute coach mpya

    Jibu

    Vizuri sana

    Jibu

    Kocha anaejielewa

    Jibu

    Koeman yupo vizuri, watakuwa bora sana

    Jibu

    Duuuh atar

    Jibu

    Vizuri sanaa

    Jibu

    Kila la kheri Barca km watasadiki kumsaini kocha huyo koeman.

    Jibu

    Koeman ni kocha mzuri na mzoefu kwenye mashindano mbali mbali itakua chachu kubwa ya mabadiliko ndani ya kikosi cha barca.

    Jibu

    Mie yangu macho

    Jibu

Acha ujumbe

Meridianbet
Privacy Overview

This website uses cookies so that we can provide you with the best user experience possible. Cookie information is stored in your browser and performs functions such as recognising you when you return to our website and helping our team to understand which sections of the website you find most interesting and useful.