Breaking : Simba Yaachana na Sven.


 

Uongozi wa Klabu ya Simba SC umetangaza rasmi jana Januari 7 kuachana na Sven Vandenbroeck raia wa Ubelgiji aliyekuwa Kocha Mkuu wa timu hiyo.

Hii ikiwa ni siku moja baada ya Mnyama kutinga hatua ya makundi kwa ushindi wa mabao 4-0 dhidi ya FC Platinum kwenye mchezo uliochezwa Uwanja wa Mkapa, Januari 6.

 

Simba ilipoteza mchezo wa kwanza ugenini, Uwanja wa Taifa wa Zimbabwe kwa kufungwa bao 1-0 ila ushindi walioupata jana Uwanja wa Mkapa wa mabao 4-0 umewafanya wasonge mbele kwa jumla ya idadi ya mabao 4-1.

Sven alipokea mikoba ya Patrick Aussems ambaye alifutwa kazi kwa kushindwa kuifikisha timu hiyo hatua ya makundi baada ya kutolewa na UD Songo kwenye hatua ya awali.

Taarifa rasmi iliyotolewa na Klabu hiyo ya Msimbazi imeeleza namna hii:-

 


JIUNGE NA FAMILIA YA MERIDIANBET BURE!!!!

Ndio, kwetu Mteja ni mfalme. Jiunge sasa na familia ya Meridianbet bila malipo yeyote na sisi tutakuzawadia bonasi ya shilingi 3,500 kama sehemu ya kukukaribisha kwenye familia hii BURE!!!. Unasubiri nini??

BOFYA HAPA

18 Komentara

    Ni uamuzi wao

    Jibu

    Sven alipokea mikoba ya Patrick Aussems ambaye alifutwa kazi kwa kushindwa kuifikisha timu hiyo hatua ya makundi baada ya kutolewa na UD Songo kwenye hatua ya awali.

    Jibu

    Waangaliye maamuzi yawe sahii wasije
    Kujutia baadaye

    Jibu

    Simba wanayumba

    Jibu

    Aende atapatikana mwingine mzuri zaidi yake tu

    Jibu

    Kwann lakin

    Jibu

    Sven yupo vizuri ila wanasimba tuna bugi Sana Sven amefanya mengi makonbe kutuletea msimbazi ngao pia leo mnataka kumtimua angarie mbele kabla yakufanya mamuzi

    Jibu

    Acha tuone

    Jibu

    Simba vp tenaaa jirani

    Jibu

    Inakuaje tena simba

    Jibu

    Maamuzi yao

    Jibu

    Mbona ivyo jaman

    Jibu

    Maamuzi ni hayo

    Jibu

    Yamekuwa hayo tena wakati kawaletea ushindi

    Jibu

    Duuh mbona hatari sasa

    Jibu

    Simba wanakwama

    Jibu

    Simba imeboa

    Jibu

    Kishingo wetu jamani

    Jibu

Acha ujumbe

Meridianbet
Privacy Overview

This website uses cookies so that we can provide you with the best user experience possible. Cookie information is stored in your browser and performs functions such as recognising you when you return to our website and helping our team to understand which sections of the website you find most interesting and useful.