Busquets Aingia Kwenye Rekodi Mpya Barcelona.


 

Mchezaji kiraka wa Barcelona, Sergio Busquets, 32 ameingia kwenye rekodi mpya katika klabu yake baada ya kucheza michezo 594.

Busquets amempiku Carles Puyol katika nafasi ya nne kwa wachezaji walioichezea Barcelona michezo mingi zaidi katika historia ya klabu hiyo katika mchezo dhidi ya Real Sociedad walioshinda 2-1.

 

Michezo 594 ya Busquets ameicheza katika mashindano 6 makubwa. Ikiwa michezo 390 ya La Liga, 117 Ligi ya Mabingwa, 64 Copa del Rey, 15 Spanish Super Cup, 5 Club World Cup na 3 European Super Cup.

Mchezaji huyo alicheza mchezo wake wa kwanza akiwa na miaka 20 mwaka 2008/09 chini ya meneja Pep Guardiola dhidi ya Racing September 13 na The Blaugrana walifanikiwa kuchukua vikombe 3 (treble) katika msimu huo.

Wanaoongoza katika msimamo huo ni 1. Xavi Hernandez (767), 2. Leo Messi(747) 3. Andreas Iniesta (674) 4. Sergio Busquets (594) na 5. Carles Puyol (593).

 


BURUDIKA NA WANYAMAPORI WAKIIMBA NA KUPIGA VYOMBO VYA MUZIKI!

Kupitia Kasino ya Mtandaoni ya Meridianbet, furahia mchezo wa Forest Rock. Hapa utaburudika na umahiri wa wanyapori wanaoimba na kutumia vifaa vya muziki wa rock. Burudika huku ukijiwekea nafasi ya kutengeneza pesa ndefu kupitia Meridianbet!!

INGIA MCHEZONI!

13 Komentara

    Gud to hear this

    Jibu

    Yuko vizuri pongezi kwake

    Jibu

    Safi

    Jibu

    Barcelona wanawachezaji wazuri sana

    Jibu

    Saf kwake

    Jibu

    safi

    Jibu

    Safi

    Jibu

    Safiii sana

    Jibu

    well

    Jibu

    Safi sana

    Jibu

    Hongera yake

    Jibu

    Safi

    Jibu

    Gud

    Jibu

Acha ujumbe

Meridianbet
Privacy Overview

This website uses cookies so that we can provide you with the best user experience possible. Cookie information is stored in your browser and performs functions such as recognising you when you return to our website and helping our team to understand which sections of the website you find most interesting and useful.