Conte: ‘Naweza kufundisha soka kwa watu wengi’

Kocha mkuu  wa klabu ya Tottenham Antonio Conte amewajibu watu wanaomkosoa kufuatia kipigo cha Tottenham dhidi ya Arsenal akisema kuwa, “Naweza kufundisha soka kwa watu wengi”

 

 Conte: ‘Naweza kufundisha soka kwa watu wengi’

Spurs walipoteza mchezo wao wa kwanza wa Ligi Kuu siku ya Jumamosi kwa mabao 3-1 na leo hii wanajiandaa kucheza mchezo wa Ligi ya Mabingwa dhidi ya Eintratch Frankfurt baada ya kupoteza mchezo uliopita dhidi ya Sporting.

Wakati wa mkutano wake na waandishi wa habari kabla ya mechi Jumatatu, Conte alijibu shutuma zake, akisisitiza kwamba anaweza kufundisha soka kwa wengi na kudai ushindi wake nchini Italia na Uingereza.

 Conte: ‘Naweza kufundisha soka kwa watu wengi’

Spurs wameshinda mara moja na kupoteza mara moja katika mechi mbili za kwanza za Ligi ya Mabingwa msimu huu. Na Conte mkataba wake unatarajiwa kumalizika mnamo Juni 2023.

Acha ujumbe

Meridianbet
Privacy Overview

This website uses cookies so that we can provide you with the best user experience possible. Cookie information is stored in your browser and performs functions such as recognising you when you return to our website and helping our team to understand which sections of the website you find most interesting and useful.