Mcheza Tenisi namba moja kwa ubora duniani, Novak Djokovic amefanikiwa kutinga nusu fainali ya mashindano ya Madrid Open baada ya kumfunga Hubert Hurkacz kwa seti 6-3 6-4.
Robo fainali nyingine imeshuhudia Rafael Nadal akiondolewa na kinda Carlos Alcaraz kwa seti 6-2 1-6 6-3 kwa mara ya kwanza katika historia yake.
Nadal ameshindwa kutetea taji la Madrid Open kwa mara ya sita mbele ya kinda Carlos Alcaraz baada ya kufanya hivyo mwaka 2005, 2010, 2013, 2014 na 2017.
Una Kila sababu ya kufurahia wiki yako na kutengeneza mwaka huu uwe wa faida zaidi katika kasino zetu za mtandaoni za meridianbettz. Mchezo wa Zeus Ancient Fortunes unakuongoza kutekeleza hilo.