Katika mashindano ya FA Cup ya msimu huu kutakuwa na mabadiliko kutokana na janga la virusi vya Corona [Covid-19], katika mashindano ambayo yanayotarajiwa kukamilika May 15, 2021 pale Wembley.
Imetanganzwa kuwa kutakuwa na mchezo mmoja bila marudio katika mechi zote pia kutakuwa na punguzo la asilimia 50% kwa washindi.

Kutokuwepo kwa mashabiki uwanjani katika sehemu kubwa ya kampeni za kivumbi hicho kunamaanisha kwamba waandalizi wamefungiwa njia nyinginezo za fedha ambazo zingetolewa kwa washindi.
Mabingwa wa Kombe la FA Cup msimu huu wa 2020-21 watatia mfukoni £1.8m pekee, hii ikiwa nusu ya kiasi cha fedha [£3.6m] kilichotolewa kwa Arsenal waliotawazwa mabingwa wa taji hilo msimu uliopita wa 2019-20.
Ndio, kwetu Mteja ni mfalme. Jiunge sasa na familia ya Meridianbet bila malipo yeyote na sisi tutakuzawadia bonasi ya shilingi 3,500 kama sehemu ya kukukaribisha kwenye familia hii BURE!!!. Unasubiri nini??



Adelta
Inabidi wakubali kwa sababu hili gojwa limekuwa tishiyo na kurudisha maendeleo nyuma
Sania
Corona inashusha uchumi duniani
Sarah
Corona imeshusha Hali ya kiuchumi dunia nzima
Lydia Emmanuel Magoti
Duuh sio poa
Caroline
Kweli Mambo magumu
Fatuma kasomo
Sio poa
Angelina
Corona inarudisha nyuma uchumi
Shakila mrope
Da sio poa
Ernest Kimeru
Hapa timu kubwa hazitoona haja ya kuwatumia wachezaji wao katika kusaka ubingwa, Safari hii atachukua mtoto
Mwanahamisi
Sio poa
Dorophina
Inabidi wachezaji wakubaliane na hali hii ya sasa wanatakiwa kuwa tayari kwa kila kitu
lombo
mmh
Neema juma
Duu mbona hatari
aisha
Duuh corona imeharibu kila kitu
Hopemwaikuka
Dah jamanii
Saupha mohamed
Dhuuuu
Magdalena
Jambo jema sana
warda
Imekaa poa sana
Rahmal
Mmmhhh atali
Gabriel
Hatari sana
Sabrina
Mmmh majanga