Fernandez : Cavani Alinielekeza Nipige Faulo.


Kiungo wa Manchester United, Bruno Fernandez amefichua kuwa Edinson Cavani alimwambia mahali pa kupiga ule mkwaju wa faulo dhidi ya Liverpool.

 

Bruno Fernandez ameweka wazi kuwa mchezaji mwenzake wa Manchester United, Edinson Cavani alimwambia wapi aelekeze mpira wake wa adhabu katika ushindi wao wa Kombe la FA dhidi ya wapinzani wao Liverpool.

Mabao ya mapema ya Mason Greenwood na Marcus Rashford yalitosha kwa kikosi cha Ole Gunnar Solskjaer kuwatoa mabingwa wa Ligi Kuu, Liverpool ambao hawana ushindi katika mechi zao tatu zilizopita.


MSHINDANI HUSHINDA BWANA!

Anayejaribu hawezi kutoka kapa Meridianbet! Kasino ya mtandaoni ya Meridianbet inakuhakikishia ushindi mkubwa kila unapojaribu kuingia mchezoni. Washindi hushindana, ingia mchezoni!

Fairy-in-Wonderland_Casino-Post_25-January

CHEZA SASA

15 Komentara

    Basi cavani nae anastahili sifa

    Jibu

    Habari njema

    Jibu

    Cavani Yuko vizuri

    Jibu

    Hatupumui mtaani, Ngoja tuuu

    Jibu

    Mambo ni 🔥🔥🔥

    Jibu

    Cavani yuko poa

    Jibu

    Kazi nzuri Fernandez alifanya

    Jibu

    Yuko poa Cavani

    Jibu

    Cavani kijana smart sana uwanjani

    Jibu

    Cavani Yuko sahihi

    Jibu

    Katishaaa sana

    Jibu

    Cavan yuko vizur

    Jibu

    Amewanyanyua Man U juu juuu akuna kuferi Man U

    Jibu

    Dhuuu

    Jibu

    Bruno hatari

    Jibu

Acha ujumbe

Meridianbet
Privacy Overview

This website uses cookies so that we can provide you with the best user experience possible. Cookie information is stored in your browser and performs functions such as recognising you when you return to our website and helping our team to understand which sections of the website you find most interesting and useful.