Foden na Greenwood Hatiani Baada ya Kuvunja Sheria za Covid-19.


Shirikisho la Soka nchini Uingereza FA linachunguza ripoti kutoka nchini Iceland zinazowahusisha wachezaji Phil Foden na Mason Greenwood, baada ya kuvunja sheria za UEFA kuhusu ugonjwa wa Covid-19 katika hotelini Reykjavik.

Wachezaji wote walikuwepo katika mchezo wa Uingereza walioshinda 1-0 dhidi ya Iceland siku mbili zilizopita. Taarifa za ndani zinasema wachezaji hao walihusishwa na kuingiza wanawake katika hoteli waliyofikia.

 

Foden na Greenwood Hatiani Baada ya Kuvunja Sheria za Covid-19.

Foden na Greenwood wamekosekana katika mazoezi ya leo asubuhi na inahofiwa wanaweza kuukosa mchezo wa UEFA Nations dhidi ya Denmark.

Wachezaji hao ni wachezaji pekee waliokosa mazoezi hayo ya mwisho yaliyofanyika katika uwanja wa Laugardalsvollur mjini Reykjavik kabla ya mchezo wa kesho.

 

Foden na Greenwood Hatiani Baada ya Kuvunja Sheria za Covid-19.

Kieran Trippier na Danny Ings wote wako fiti kwaajili ya mchezo huo japo walipata maumivu ya vichwa baada ya kugongana katika mazoezi.

Foden na Greenwood wakiwa katika hatihati ya kukosekana, Kocha Southgate ana kikosi cha wachezaji 22 amabao anaweza kuwachagua katika mchezo utakaopigwa pale Copenhagen.


SHINDA NA HI LO

Sasa hii ni rahisi zaidi kupata USHINDI! Unatabiri karata ipi ipo chini au juu, kisha unakusanya mkwanja wako.

Cheza Sasa.

41 Komentara

    Sheria ifuate mkondo wake hapo

    Jibu

    Kwa nini hawapendi kufata maelekezo

    Jibu

    Sheria itafata mkondo wake apo#Meridianbettz

    Jibu

    tatizo hao nao wanajisahau sana

    Jibu

    Watu washachoka na huu ugonjwa sheria zao wanaona kama adhabu

    Jibu

    sheria ni msumeno

    Jibu

    Kwanini awafati Sheri ukiwa kwenye Kaz lazima ufate maelekezo ya wakubwa wakikosi nakutii Sheria zao

    Jibu

    Waadhibiwe kwa utovu wa kutotii sheria

    Jibu

    Wapate adhabu kwa utovu wa nidham iwe fundisho

    Jibu

    Majanga.

    Jibu

    Sheria ifate mkondo

    Jibu

    Jamani fuateni shelia tuu ili mambo yakae sawa

    Jibu

    Kama wamevunja shelia makusudi basi wapate adhabu

    Jibu

    vijana hawajazingatia social distancing kwa kuingiza totozi, lazima wakutane na wembe wa adhabu#meridianbettz

    Jibu

    Jamani vijana wana mambo mengi sasa itakuwaje hatma yao#meridianbettz

    Jibu

    Duh ujana unawasumbua

    Jibu

    Duuu awajajitambua

    Jibu

    Hiyo inaitwa kazi na dawa

    Jibu

    Duuuh majanga

    Jibu

    Duuh hatari amejisahau sn

    Jibu

    Adhabu itolewe tuya kinidhamu

    Jibu

    Mmmh!! Wameshindwa kuvumilia!¡

    Jibu

    Asante Kwa taarifa

    Jibu

    Oooh hekma muhim

    Jibu

    Hakika ujana maji ya Moto wameshindwa kufuata kanuni na sheria kwa muda mchache , hakika adhabu wanastahiki kupewa.

    Jibu

    Adhabu itolewe iwe fundisho

    Jibu

    Adhabu ndo kila kitu

    Jibu

    Inabidi waadhibiwe

    Jibu

    Sheria zimewekwa ili zifatwe

    Jibu

    Tunasema kazi na Dala safiii tuuu

    Jibu

    Tatizo wanajisahau

    Jibu

    safii wastahili hadhabu sheria lazima kuzingatiwa

    Jibu

    Mambo yashakuwa mazito

    Jibu

    Sheria ifuate mkondo wake

    Jibu

    Ni shida kwa wachezaji hawa

    Jibu

    Sheria ifuate mkondo wake

    Jibu

    Tatizo wanajisahau

    Jibu

    Vijana wanajisahau

    Jibu

    Sheria ifatwe

    Jibu

    Hakika ujana maji ya Moto wameshindwa kufuata kanuni na sheria kwa muda mchache , hakika adhabu wanastahiki kupe

    Jibu

Acha ujumbe

Meridianbet
Privacy Overview

This website uses cookies so that we can provide you with the best user experience possible. Cookie information is stored in your browser and performs functions such as recognising you when you return to our website and helping our team to understand which sections of the website you find most interesting and useful.