Riyad Mahrez na Aymeric Laporte wote wamepima na kukutwa na virusi vya Corona klabu ya Manchester City yathibitisha.
Klabu hiyo ya Premier League imesema kwamba wawili hao wameambukizwa COVID-19 ingawa hawakuonesha dalili, na hivi karibuni walijitenga kama utaratibu unavyotaka.
Msimu mpya wa Premier League unatarajiwa kuanza siku ya Jumamosi, Septemba 12 ingawa ratiba ya City mchezo wa kwanza utakuwa dhidi ya wolves Setemba 21, siku 14 baada ya ligi kuanza
Klabu ilitoa maelezo yaliyosomeka: “Manchester City imethibitisha kwamba Riyad Mahrez na Aymeric Laporte wamekutwa na COVID-19 baada ya kufanyiwa vipimo.
“Kila mtu anawatakia heri wapone haraka na kurejea mazoezini na kujiandaa na ligi msimu mpya.
Kuwekuwa na ongezeko la visa vya maambukizi ya Corona katika nyanja ya michezo ulimwenguni kote wiki za hivi karibuni.
Mabingwa wa Ligue 1 Paris Saint-Germain ambao wanatarajia kuanza kucheza mashindano ya ndani siku ya Alahamisi wameripoti visa sita vya maambukizi kati ya wachezaji wao katika kikosi.
Mchezo wa kwanza wa Ligue 1 ulihairishwa mwezi uliopita baada ya Marseille kuthibitisha kuna wachezaji wawili ndani ya kikosi wamepata Corona.
Paul Pogba, Houssem Aouar na Steve Mandanda wameshindwa kujiunga na timu ya Ufaransa katika michuano ya Nations League baada ya kuambukizwa Corona.
SHINDA NA HI LO
Sasa hii ni rahisi zaidi kupata USHINDI! Unatabiri karata ipi ipo chini au juu, kisha unakusanya mkwanja wako.
Salma ngende
Du!!!! Hatariii
aisha
Duuh poleni sana ndugu zetu mtapona lakini msijali
rama
daaaa hatari sana hiii tahadhari muhimu sana kwa wachezaji kipindi hiki cha corona
Khadija
polen sana hii corona cjui itaisha lin maana kila siku majanga#meridkanbettz
Sadick
Hii inaipa wakati mgumu Man city wakati msimu unakaribia kuanza#meridianbettz
Hope mwaikuka
Polen wapendwa
Amiri Kayera
Majanga hay Corona ligi inatak ianze
Saupha mohamed
Corona cyo poa
Theckla
Corona noma
Zeiyana
Bado kuna ali ngumu sana kuwepuka ugonjwa umekua too much
Rehema
Corona inatisha
Sabrina
Duuh corona bado inatikisa dunia
Gabriel
Habar ya kusikitisha sana
Rose kapinga
Poleni sana,inabid kua makini sana ugonjwa hatari sana,mfate maelezo ya kuhusu covid-19
Tumaini kasalile
Polen man city
Janeflora malisa
Jmn poln sna
Latifa juma mohamed
Very sad story ,inawap wakati mgumu kwa club ya mancity kwa msimu ambao unakaribia kuanza kutokana na majembe yao kupatwa na covid19.
Dorophina
Naona Mambo yameanza kuwa magumu mwisho wa siku mipira itafungiwa
Elika
Hili gonjwa hatar sana
Sauda
Pole yao
Lydia Emmanuel Magoti
Duu pole yao Corona sio poa
Magdalena
Mambo yashaanza kuwa magumu huu ugonjwa Ni balaa
Tatu
Balaa hili la corona
Ernest
Habari mbaya sana kwa wapenzi wa City na wasoka duniani, Tunawatakia wapone haraka
Fatuma kasomo
Duh habari mbaya
Neema
Coronaa imekuwa tishio kwetu
JULIANA WILBARD ALEX
Da! Inasikitisha
Shani
Korona inatisha
felister
pole yake
Issa
Korona imeathiri sekta ya michezo san
jullie
ni shida
Saupha mohamed
Duuh poleni sana
Tahiya
Corona ipo tusichukulie Poaw
Mwanahamisi
Colona sio poa
Fatina mfigi
Pole snaa
Mwajumah
Duuh mpoleni sana
Samiah
Pole yake
Theonestina
Corona Sio poa
Isaya massawe
Corona bado nishida ulaya
farida ahmadi
Du nouma Sana
David Pere
Hii inaipa wakati mgumu Man city wakati msimu unakaribia kuanza